Leo Mbowe alitakiwa awe wa kwanza kuuliza maswali kwa waziri mkuu, na hasa suala la POSHO na MGOMO WA MADAKTARI ila SPIKA kasema Mbowe hayupo , najiuliza amekwenda wapi kama sio hujuma hiii,
Bunge lipitishe kanuni ya kupiga marufuku kauli za waziri mkuu serikali na mawaziri wote kwa ujumla kutumia kauli za Mchakato unaendelee,tutalishughulikia n.k.Kwa sababu kauli hizi zinakua kichaka cha kukwepa maswali .Kauli hizi ni kama jipu au bomu ambalo linapolipuka serikali inakua haina majibu.serikali ...inashirikiana na.....kufanya mchakato.....ili kushughulikia.......hata hivyo......mapendekezo haya nitayafikisha kwa rais akirudi.....
akiona gumu sana ataanza kulia kisha ndio imetoka sijui chozi lake ndio jibu la swali aliloulizwa? usanii mtupu
waziri mkuu muongo kuliko wote....
Imagine maneno yote haya hapo bado hajaongea kitu cha maana, sijui siasa itatupeleka wapserikali ...inashirikiana na.....kufanya mchakato.....ili kushughulikia.......hata hivyo......mapendekezo haya nitayafikisha kwa rais akirudi.....
Eeh unadhani atajibu nini wakati ye mwenyewe hana mda kujua nchi yake inendaje hana lolote alijualo.
Imagine maneno yote haya hapo bado hajaongea kitu cha maana, sijui siasa itatupeleka wapserikali ...inashirikiana na.....kufanya mchakato.....ili kushughulikia.......hata hivyo......mapendekezo haya nitayafikisha kwa rais akirudi.....