consolathak
Senior Member
- Nov 13, 2012
- 160
- 174
Hiyo siku unaenda kuogelea ndo inaeza ikawa siku ya tetemeko 😀😀😀Afadahli mimi nilijiamulia kushi huku Kibaha,huko beach ntakuwa naenda siku za sikukuu tu kuogelea...
Hiyo siku unaenda kuogelea ndo inaeza ikawa siku ya tetemeko 😀😀😀Afadahli mimi nilijiamulia kushi huku Kibaha,huko beach ntakuwa naenda siku za sikukuu tu kuogelea...
Tsunami hutokea baada ya tetemeko la ardhi kutokea baharini. Yaan "epicentre" ikiwa baharinHivi tsunami hutokeaje? ni maporomoko ya ardhi bahari husababisha?
Hawana vifaa madhubuti....Mbona huwa hawatoi taarifa mapema mpaka litokee Jambo, nadhani Hawa TMA bado utendaji wao duni
Hii ingeitwa "IDARA" au "KITENGO" cha hali ya nchi. Sio MAMLAKA ya hali ya hewa
Sent from my XT1097 using JamiiForums mobile app
Kwani kipi usichojua hapo? Unadhani watanzania watachagua wapiga mipasho? JPM awamu ya sita haina ubishi, hapa watu tunawaza kumuongezea awamu ya saba.JPM kuapishwa kuongoza awamu ya sita!!! Una maanisha nini?
Sasa si wawezeshwe jamaniHawana vifaa madhubuti....
hivyo ni very expensive...
tetemeko halinaga vipimo vya utabiri duniani koteMbona huwa hawatoi taarifa mapema mpaka litokee Jambo, nadhani Hawa TMA bado utendaji wao duni
TAARIFA KWA UMMA HALI YA BAHARI KUFUATIA TETEMEKO LA ARDHI CHINI YA BAHARI YA HINDI
Dar es Salaam, 12 Agosti 2020:
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inatoa taarifa kuhusu hali ya bahari kufuatia tetemeko la ardhi chini ya bahari ya Hindi. Leo tarehe 12/08/2020 majira ya saa mbili (2) usiku, tumepokea taarifa zilizothibitishwa na “Geological Survey of Tanzania” (GST) kuhusu tetemeko la Ardhi lenye ukubwa wa kipimo cha 5.9 katika eneo la kusini mashariki mwa Mkoa wa Pwani katika bahari ya Hindi.
Kutokana na Tetemeko hilo kutokea katika eneo la chini ya bahari, Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania imefanya uchambuzi wa taarifa za tetemeko hilo katika kituo chake cha Tahadhari ya Tsunami ili kuona iwapo kuna uwezekano wowote wa tetemeko hilo kusababisha mawimbi ya Tsunami baharini. Matokeo ya uchambuzi huo yanaonesha kuwa hakuna tishio la Tsunami kutokana na tetemeko hilo. Tetemeko hilo halikuwa nguvu kubwa na hakuna maporomoko ya ardhi yaliyojitokeza baharini ambayo yangeweza kuzalisha tsunami.
TMA inaendelea kufuatilia mifumo ya hali ya hewa baharini na kutoa taarifa endapo kutajitokeza mwendelezo wa matetemeko katika eneo la Bahari.
ATHARI: Hakuna adhari zilizojitokeza au zinazotarajiwa katika mifumo ya hali ya hewa ya bahari kutokana na tetemeko hilo.
USHAURI: Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania inawashauri watumiaji wa eneo la bahari ikiwa ni pamoja wananchi wanaoishi katika maeneo yaliyokaribu na bahari ya Hindi kutokuwa na hofu na kuendelea na shughuli kwa kuzingatia taarifa ya hali ya hewa Baharini kama ilivyotolewa awali na Mamlaka.
Imetolewa na;
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania
Pia, soma: News Alert: - Tetemeko la Ardhi latokea baadhi ya Mikoa ya Tanzania
Huwa akuna utabiri Wa tetemeko la ardhi kabla halijatokea,,, dunia nzima hakuna bado technology ya kutoa utabiri huo!Wanatoa baada ya tukio, mbona.
Kwani kipi usichojua hapo? Unadhani watanzania watachagua wapiga mipasho? JPM awamu ya sita haina ubishi, hapa watu tunawaza kumuongezea awamu ya saba.
Nimejimwambafai kumbe nimechemkaKwahiyo wewe awamu unaelewaje kwani au ulidhani nakupinga hatashinda?
Tunaposema serikali ya awamu fulani unaelewaje?