TMA: Joto linachangiwa na kusogea Jua la Utosi

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,306
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema joto kuongezeka katika mikoa mbalimbali kunatokana na kusogea jua la utosi na upungufu wa mvua.

TMA imesema vipindi vya jua la utosi nchini hufikia kilele mwishoni mwa Novemba wakati jua likielekea Kusini (Tropiki ya Kaprikoni), na hali hiyo hujirudia Februari wakati likielekea Kaskazini (Tropiki ya Kansa).
 
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema joto kuongezeka katika mikoa mbalimbali kunatokana na kusogea jua la utosi na upungufu wa mvua.

TMA imesema vipindi vya jua la utosi nchini hufikia kilele mwishoni mwa Novemba wakati jua likielekea Kusini (Tropiki ya Kaprikoni), na hali hiyo hujirudia Februari wakati likielekea Kaskazini (Tropiki ya Kansa).
View attachment 2910963
Wazee wa kutabiri matukio yakiwa tayari yameshatukia...

Kwa nini wasiseme mapema ili tuanze kutembea na fan? Jana nimetembea Kariakoo aisee doh. Vitambaa viwili vya mkononi vililowa chapachapa kwa jasho
 
Mimi na shughuli zangu za shamba asee vinyweleo vimebadilika vimekuwa kama vya Albino yaani huwezi amini mwanzoni mwa mwezi huu wa tanuri ati mvua zilikuwa zinanyesha huku dooh!
 
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema joto kuongezeka katika mikoa mbalimbali kunatokana na kusogea jua la utosi na upungufu wa mvua.

TMA imesema vipindi vya jua la utosi nchini hufikia kilele mwishoni mwa Novemba wakati jua likielekea Kusini (Tropiki ya Kaprikoni), na hali hiyo hujirudia Februari wakati likielekea Kaskazini (Tropiki ya Kansa).
View attachment 2910963

Jua liko fixed kina sisi tunalizunguka hivyo ndivyo wabobezi wa NASA huko wasemavyo.

Hawa ndugu wameliona he kusogea huku kama siyo zile ramli za kwetu Sumbawanga huku?
 
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema joto kuongezeka katika mikoa mbalimbali kunatokana na kusogea jua la utosi na upungufu wa mvua.

TMA imesema vipindi vya jua la utosi nchini hufikia kilele mwishoni mwa Novemba wakati jua likielekea Kusini (Tropiki ya Kaprikoni), na hali hiyo hujirudia Februari wakati likielekea Kaskazini (Tropiki ya Kansa).
View attachment 2910963
Wataalam wa hali ya hewa mtufafanulie hili neno la KUONGEZEKA KWA JUA LA UTOSI....
  1. Linaongezekaje?
  2. Chanzo cha jua kuongezekea utosini ni kipi haswa?
  3. Reference yake imetokea wapi?
  4. Kisayansi kuna athari gani za muda mfupi na muda mrefu?
TMA wanatupa mifupa migumu sana
 
Back
Top Bottom