wamelala shule leo...hiii mvua Mungu atusamehe kwa niliyoyaona Leo kigogo mpaka muda huu nawaza watalala Wapi.
Angetuambia alipataje hayo majibu Mm nakaa tgt niliweka ndoo ya lt 20 nje mahali pa wazi na ilijaa kwa matone ya mvua .Nilishangaa ila sikuwa na tafsiri halisi pengine kuna kanuweliHuyo elnino hakuiona huyo....elnino ilinyesha mfululizo karibia siku 10 leo mvua ya siku mbili uifananishie elnino!anatania huyo kumfurahisha aliemchagua au anatafuta kupanda cheo.
Mvua ya leo ilikuwa kubwa lakini haikuwa na upepo.Meneja wa operesheni wa TMA Hellen Msemwa amesema mvua iliyonyesha leo imeweka rekodi mpya na kwamba kwa vipimo imeizidi ile ya elmino. Source channel ten habari!
Mungu awatie nguvu.wamelala shule leo...
Umeona nini?hiii mvua Mungu atusamehe kwa niliyoyaona Leo kigogo mpaka muda huu nawaza watalala Wapi.
Siku mkiacha kuichagua ccm,huyo ndo mchawi wenu.Hivi huku dodoma walikuchawia nini?? Mbona mwaka sasa mvua haijawai kunyesha
Meneja wa operesheni wa TMA Hellen Msemwa amesema mvua iliyonyesha leo imeweka rekodi mpya na kwamba kwa vipimo imeizidi ile ya elmino. Source channel ten habari!
Ungejua mkuu hata usingesema. Wakazi wa dom town parcent kubwa sisi ni wahamiaji. Wapendwa wa chama wako huko wilayani na vijijini lakini huko walau wanapata mvua shida ni hapa mjini eeuwhhSiku mkiacha kuichagua ccm,huyo ndo mchawi wenu.
Huyu ni mtaalamu,ndio Meneja Operation...Hapiki data na wala data zake huwezi kudanganya sababu dunia nzima inatambua.Tuwe na utamaduni wa kusikiliza na kuwapa heshima wataalamu wetu,tusiwachanganye na siasa.
Hiyo mvua ya leo ni kiboko...
Exactly hii mvua sidhani kama ni ya kulinganisha na mvua iliyonyesha siku kumiUmekaa Arusha, hii mvua ni ya kawaida kabisa. Hakukua na mvua ya maana, miundo mbinu ni mibovu ndio maana maji yamejaa kila kona.
Hakuna watu waongo kama watabiri wa hali ya hewa wa bongo.....siku zote wapo kimya....sasa ngoja mvua inyeshe,,hapo ndy wataibuka kusiko julikana na kutoa matamko,,,NA BADO..HII MVUA NI KUBWA MNOMeneja wa operesheni wa TMA Hellen Msemwa amesema mvua iliyonyesha leo imeweka rekodi mpya na kwamba kwa vipimo imeizidi ile ya elmino. Source channel ten habari!
Hawa watu huwa hawapo serious na kazi zao,Hakuna watu waongo kama watabiri wa hali ya hewa wa bongo.....siku zote wapo kimya....sasa ngoja mvua inyeshe,,hapo ndy wataibuka kusiko julikana na kutoa matamko,,,NA BADO..HII MVUA NI KUBWA MNO
Ndio ukiboko wenyewe mkuu,yaani ukiboko wake umeleta madhara tuliyoyaona kwenye mitandao na taarifa za habari za Tv mitandaoni...Kwamba majanga hayo ni sababu ya miundombinu?Basi hili ni suala jingine,dhana yangu ni kuwa madhara yameonekanaUmekaa Arusha, hii mvua ni ya kawaida kabisa. Hakukua na mvua ya maana, miundo mbinu ni mibovu ndio maana maji yamejaa kila kona.