PreGE2025 TLP: Wanaotaka muungano wa vyama na sisi, wakubali mgombea Urais atokee TLP

PreGE2025 TLP: Wanaotaka muungano wa vyama na sisi, wakubali mgombea Urais atokee TLP

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Richard Shadrack Lyimo, ameweka wazi msimamo wake wa kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, akieleza sera mbalimbali za chama hicho na sababu kwa nini wananchi wawaunge mkono.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Akizungumza na waandishi wa habari Machi 3, 2025, katika makao makuu ya TLP, Dar es Salaam, amesema hawezi kuidhinisha kujiunga na vyama vingine vya siasa kutokana na funzo walilolipata kutoka kwenye muungano wa UKAWA mwaka 2015.

 
Albert Einstein once said
Insanity is doing the same thing over and over again and expecting different results.
 
Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Richard Shadrack Lyimo, ameweka wazi msimamo wake wa kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, akieleza sera mbalimbali za chama hicho na sababu kwa nini wananchi wawaunge mkono.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Akizungumza na waandishi wa habari Machi 3, 2025, katika makao makuu ya TLP, Dar es Salaam, amesema hawezi kuidhinisha kujiunga na vyama vingine vya siasa kutokana na funzo walilolipata kutoka kwenye muungano wa UKAWA mwaka 2015.

Nimecheka kwa nguvu vibaya.
 
Ofisi ya TLP ndio ofisi chafu kuliko ofisi zingine zote za kisiasa,
Uchafu mtu
 
Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Richard Shadrack Lyimo, ameweka wazi msimamo wake wa kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, akieleza sera mbalimbali za chama hicho na sababu kwa nini wananchi wawaunge mkono.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Akizungumza na waandishi wa habari Machi 3, 2025, katika makao makuu ya TLP, Dar es Salaam, amesema hawezi kuidhinisha kujiunga na vyama vingine vya siasa kutokana na funzo walilolipata kutoka kwenye muungano wa UKAWA mwaka 2015.

kumbe ni akina lymo ningeshangaa
 
Wachagga wanachukulia mambo simple simple sana
 
Back
Top Bottom