gkileo
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 1,096
- 487
Huenda wengine wanaelewa ukuta kwa namna nyingine
Watu wako buss na 'HAPA KAZI TU ' hivyo haitegemewi kuona fujo au maandamano popote!
Huenda wengine wanaelewa ukuta kwa namna nyingine
Nimefanya utafiti wa kuhoji watu wengi kama wanajua chochote kuhusu UKUTA, 96% hawana habari kuhusu tarehe 1 Sept na hawajui ukuta ni nini.
Stupidity of the commander

Unajua kiapo chao wewe au unasema tu! Fuata Sheria uwe salama!Polisi wajue kuwa wataua na ndugu zao.
Hivi hawapajui Syria waende wakatulize fujo kidogo pale?Tar 1 sio mbali wewe jitokeze u test zali
Potea haraka sana humu....ulikuwa unawauliza kama Nani kama sio kujipendekeza..sasa kama Ni hivyo mnawasumbua nini Aksari Na mazoezi..Just wait 1 SeptemberNimefanya utafiti wa kuhoji watu wengi kama wanajua chochote kuhusu UKUTA, 96% hawana habari kuhusu tarehe 1 Sept na hawajui ukuta ni nini.
Huwezi Vunja UKUTA Kabla ya kuushika 'Diwani wa Sombetini Arusha..Jamaa Ni Noumer sana..Ukimwangalia Jamaa jala hana wasiwasi..Ara Chugaaaa..1 SeptemberHuenda wengine wanaelewa ukuta kwa namna nyingine
Huyu atakuwa Ni mpendazoeee Na ID mpyaaHongera mkuu,long live my love!!
# Huu utafiti wako umeufanya kuanzia lini?? Umewahoji kina nani haswa? wazee,watoto,vijana??
# Unaposema watu wengi umemaanisha wangapi?? kwa idadi please.
# Unaposema 96% hawana habari tafasiri yake nini??
# Unaposema hawajui ukuta ni nini,Je uliwauliza nini??
# Huu utafiti umeufanya wapi/sehemu zipi??
Naomba majibu,Tafwadhali.
Weka abstract ya research report yako hapaNimefanya utafiti wa kuhoji watu wengi kama wanajua chochote kuhusu UKUTA, 96% hawana habari kuhusu tarehe 1 Sept na hawajui ukuta ni nini.
Unaniudhi Wewe...Sijui VP..We Tuache unahangaikaa Na sisi why...Eti fuata sheriaa wanaovunja sheria huwaoniUnajua kiapo chao wewe au unasema tu! Fuata Sheria uwe salama!
ukiandamana mkuu!si watatumaliza hawa na hizo silaha....