Mwanzoni program ilipigwa stop na misecurity kwene OS yangu. Probably.
BTW, nafanya taiming kaa ile ya kumchinja kobe kwene taarifa ya habari tu ile ya saa mbili usaiku, the rest is pathetic, traumatizing and painful to watch..really.
bonyeza control (Ctrl) usiiachie (hold) wakati unabonyeza print screen (PrtSc), then paste kwenye word au notepad. Then unaweza ku-crop na kubakiza kieneo unachokitaka.
bonyeza control (Ctrl) usiiachie (hold) wakati unabonyeza print screen (PrtSc), then paste kwenye word au notepad. Then unaweza ku-crop na kubakiza kieneo unachokitaka.