tizama hiiii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

miri

Member
Apr 26, 2012
34
1
jamaa mmoja ilimlazimu kufanya kitendo kibaya sana na kujikuta anabadili jina na kuwa mwanamke,
hii ni baada ya kukutana na list ya watu wengi mkoani mbeya wakianzia na prefix MWA
majina yalikuwa hivi;
mwakyambik lugano
mwakatobe isaya
mwakasala peter
mwaipopo david
mwaisela emmanuel n.k
na ndipo sasa yeye akajikuta anatupia prefix mwa na jina laki likiwa juma malikaul
jina lake likawa;
MWAJUMA malikaul,akidhan ataonekana mtu wa mikoa hiyo na kusababisha kufutwa kabisa kwenye list maana waliitajika jinsia ya kiume kwenye application hiyo na yy pekee ndiye aliyekuwa na jina la kike.
 
Back
Top Bottom