CHE GUEVARA-II
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 571
- 156
Habari zenu wana JF?
Naomba utaratibu wa kupata title deed ktk kiwanja changu ambacho hakiko ktk eneo lililopimwa na halmashauri, pia majirani watake nao kupimiwa au wasitake (ili tupunguze gharama kwa kila kiwanja) MIMI sijali nahitaji nipate title deed ya kiwanja changu. Hata kama inachukua mwaka mzima kuanzia kupima hadi kupata hiyo title deed MIMI NAHITAJI NIIPATE KABLA YA JULY, 2013. Nadhani mmenisoma ninaposema "hata kama utaratibu unachukua zaidi ya mwaka, mimi nahitaji ndani ya mwezi mmoja"
Mwenye kujua njia ya kupita ani-PM.
Asante!
Naomba utaratibu wa kupata title deed ktk kiwanja changu ambacho hakiko ktk eneo lililopimwa na halmashauri, pia majirani watake nao kupimiwa au wasitake (ili tupunguze gharama kwa kila kiwanja) MIMI sijali nahitaji nipate title deed ya kiwanja changu. Hata kama inachukua mwaka mzima kuanzia kupima hadi kupata hiyo title deed MIMI NAHITAJI NIIPATE KABLA YA JULY, 2013. Nadhani mmenisoma ninaposema "hata kama utaratibu unachukua zaidi ya mwaka, mimi nahitaji ndani ya mwezi mmoja"
Mwenye kujua njia ya kupita ani-PM.
Asante!