Yaani simu nyingine ni za kufyatua kama za China etc..Ingawaje ni Samsung lakini haijatengenezwa na original manufacturer. Hivyo zitakusumbua tu hata ukibadilisha charge, cha msingi ni kununua simu ingine bora mkuu.Yaani quality kiaje mkuu?
Mkuu smartphone yoyote ikijitaidi sana kukutunzia chaji ni masaa 8 tu apo ilikuwa fully charged
na wewe eka screenshot, maneno matupu hayasaidiiInfinix hakuna huo ujinga
Powerbank hiiChukua techno l8 plus capacity ya betry ni 5050 ah unachat non stop masaa 12
Mkuu asante kwa misaada unayotupatia sisi wadau wako jana uliniambia nieke screen shot ya battery usage ilionyesha 1day 9hour na dakika 35 ndio battery ilikuwa fully charged iyo ilimaanisha siku moja na masaa 9 yaliyopita ndio battery ilikuwa fully charged inamaana masaa yalioendelea haikuwa fully charged ukiangalia vizur nisawa na siku mbili simu haikuwa fully charged jana nimeiweka kwenye charge since saa nne na dk 35 usiku hadi kufika saa 12 na dk 14 asubuhi charge ilifika asilimia 46 (46%)na wewe eka screenshot, maneno matupu hayasaidii
hio issue ya kuchelewa kujaa ni Tatizo la charger, ingia playstore search app inaitwa ampere, chaji simu then fungua hio app itakuonesha kiasi cha umeme kinachoingia. nisomee hizo namba au weka screenshot.Mkuu asante kwa misaada unayotupatia sisi wadau wako jana uliniambia nieke screen shot ya battery usage ilionyesha 1day 9hour na dakika 35 ndio battery ilikuwa fully charged iyo ilimaanisha siku moja na masaa 9 yaliyopita ndio battery ilikuwa fully charged inamaana masaa yalioendelea haikuwa fully charged ukiangalia vizur nisawa na siku mbili simu haikuwa fully charged jana nimeiweka kwenye charge since saa nne na dk 35 usiku hadi kufika saa 12 na dk 14 asubuhi charge ilifika asilimia 46 (46%)
Na akati kipindi cha nyuma nilikuwa na charge ndani ya masaa mawili tu done.
#chief_mkwawa
Sawa mkuu nitakupa mrejesho baadae kidogohio issue ya kuchelewa kujaa ni Tatizo la charger, ingia playstore search app inaitwa ampere, chaji simu then fungua hio app itakuonesha kiasi cha umeme kinachoingia. nisomee hizo namba au weka screenshot.
Ni smart phone sio powerbankPowerbank hii
Ni smartphone ndio lakini pia inauwezo wa kucharge simu nyingine.Ni smart phone sio powerbank
Siyo kwa kiasi hicho mkuu,huyo jamaa samsung yake ina matatizo siyo kawaida ya samsung kufanya hvyo,hebu acha kuwa mfitinishi na tecno zako hizo.Sasa mkuu ndio umeongea nini?
Hawa jamaa kwenye betri wanazingua kwa matoleo mengi !
Iyo fast charging gani simu ijae chini ya nusu saa?Mkuu tafuta fast charger...simu inajaa chini ya nusu saa!! Note 4 yangu ilikuwa na shida hiyo pia..toka nimebadilisha charger hakuna usumbufu..japo chaji inalika kama kawa!!
hyo yako ya kichina mzee,natumia j3 tokea saa12 asubuhi nakuja kuchage saa 6 usiku!Wakuu wanajf habar zenu
Hope mko poa simu yangu ni samsung galaxy j3 (6) inatatizo la kuisha chaji mapema yaani inachelewa kujaa (fully charged) na inaisha mapema sana nimejaribu kubadir chaji nyingine lakini tatizo likopalepale wakuu msaada wenu please
Shedede
Yeah mkuu, hapo umenena vema, kimfano hata hii jf ukiitumia kwenye dark mode huwa chaji haisumbui, watu wengi wqnatumia display vibaya, unakuta mwanga wa dsply utadhani mtu kawasha tochi! Vibration kwenye touch pad na notifications! Na kingine kikubwa kuna app nyingine ambazo kwa wakati flan huhitaji kuzitumia lakini zipo kwenye cm na zinakula chaji, nenda setting, Disable app yeyote unayoona kwa muda flan hauhitaji kuitumia betri yako itaishi vzr. Mimi huwa sizimi data na ninatumia sim kuamzia asubui mpaka ninapoenda kulala mida ya 5 au 6 usiku"mkuu siku moja na masaa 9 kwa smartphone ni muda mzuri tu mbona?
na hapo kikubwa kinachokula chaji ni battery
kukupa tu tip kwa simu za amoled zikidisplay rangi nyeusi huwa hazili chaji sana,
nenda setting halafu themes halafu download themes tafuta themes yenye rangi nyeusi iweke wakati unataka simu ikae na chaji
mkuu hizi flagship zina nguvu sana, na zinakula chaji sana, wewe unataka nini? simu inayokaa na chaji? punguza nguvu ya simu automatic itakaa na chaji.Hivi wakuu sumsung s6 edge kwa kawaida inaweza kudum na chaji kwa muda gani maana hii yangu nimechaji asubuhi kwa fast charger saa hiz ina 67% halafu nilizima data nimeanza kutumia sasa hivi