Hawa jamaa
Sasa waachane na vile visa mara Zitto katumiwa meseji za kutishwa mara Lissu katishiwa kwa kupigiwa simu, mara mtu akiwa chadema wanamdukua yaani wao kudeal na wapinzani tu hapana waachane na siasa hizi maana sijaona mpinzani anaefanya siasa za kuhatarisha usalama wa nchi kwa kua hatuna mwanasiasa mwenye makundi ya waasi na wenye silaha,
Ukiangalia mikataba ya Rais Samia Uganda na Kenya unajua kabisa tumepigwa mchana kweupe kwa mfano Ruto na Raila wote sera yao kwa sasa ni kuachana na kuagiza mahindi au mazao nje ya nchi na hapa inalengwa Tanzania.
Wao unawapa soko la bidhaa zao na kuwapa vibali vya kufanya kazi huku ukichekacheka come on! DUNIA YA UBEPARI UKICHEKA UMELIWA.
TISS sasa ijikite kwenye kufanya intelijensia za kiuchumi ikiwamo kutafiti juu ya mikataba wanayoingia viongozi, kwa mfano utaona tu visa toka vya Dowans, Symbion, unaona hapa TISS hawakushauri vizuri ndio maana tunapigwa.
Mikataba tu ya January Makamba raia wa kawaida niliepo kijijini unaona hapa tunapigwa mchana kweupe lakini wao wapo tu hadi itokee tena tuvunje mikataba na tulipe mabilioni ya fidia hapana.
Position ilipo Tanzania haitakiwi kua hivi ilivo ni wakati vyombo vya usalama kuzuia matumizi mabovu ya rasilimali za nchi na hata miradi mbali mbali inayofanywa huko kwenye halmashauri waifuatilie.
MIKATABA YA UGANDA NA KENYA NA MIKATABA YA JANUARY NA MIKATABA YA KULE MALIASILI SINA IMANI NAYO TUNAPIGWA MCHANA KWEUPE.
Sasa waachane na vile visa mara Zitto katumiwa meseji za kutishwa mara Lissu katishiwa kwa kupigiwa simu, mara mtu akiwa chadema wanamdukua yaani wao kudeal na wapinzani tu hapana waachane na siasa hizi maana sijaona mpinzani anaefanya siasa za kuhatarisha usalama wa nchi kwa kua hatuna mwanasiasa mwenye makundi ya waasi na wenye silaha,
Ukiangalia mikataba ya Rais Samia Uganda na Kenya unajua kabisa tumepigwa mchana kweupe kwa mfano Ruto na Raila wote sera yao kwa sasa ni kuachana na kuagiza mahindi au mazao nje ya nchi na hapa inalengwa Tanzania.
Wao unawapa soko la bidhaa zao na kuwapa vibali vya kufanya kazi huku ukichekacheka come on! DUNIA YA UBEPARI UKICHEKA UMELIWA.
TISS sasa ijikite kwenye kufanya intelijensia za kiuchumi ikiwamo kutafiti juu ya mikataba wanayoingia viongozi, kwa mfano utaona tu visa toka vya Dowans, Symbion, unaona hapa TISS hawakushauri vizuri ndio maana tunapigwa.
Mikataba tu ya January Makamba raia wa kawaida niliepo kijijini unaona hapa tunapigwa mchana kweupe lakini wao wapo tu hadi itokee tena tuvunje mikataba na tulipe mabilioni ya fidia hapana.
Position ilipo Tanzania haitakiwi kua hivi ilivo ni wakati vyombo vya usalama kuzuia matumizi mabovu ya rasilimali za nchi na hata miradi mbali mbali inayofanywa huko kwenye halmashauri waifuatilie.
MIKATABA YA UGANDA NA KENYA NA MIKATABA YA JANUARY NA MIKATABA YA KULE MALIASILI SINA IMANI NAYO TUNAPIGWA MCHANA KWEUPE.