tishio la njaa, vyakula vyapanda

mjingamimi

JF-Expert Member
Aug 3, 2015
39,286
44,851
ad2c73f993aa42e15e88c2e60061e405.jpg


Ninavyomjua rais wetu atakuja kuuliza kwani wakati wa kampeni niliwaahidi njaa? Fanyeni kazi.acheni kulia lia njaa. Mnataka serikali iwalishe hakuna chakula cha bure, ardhi ya kijani mkalime.
 
Nchi ambayo iliruhusu wananchi wake wafe njaa kutokana na mipango mibovu na pesa kuelekezwa kwenye matumizi ya anasa za kiongozi ni Korea Kaskazini na kiongozi wao alikua dikteta kila uchwao akiwaaminisha wananchi kua yeye ni Mungu.
 
Haaahahhah Acha Kumpa Hasira Unajua Huwa Anapitia JF na Mitandao mingine... Anaweza Akaitisha Press ...

Ila Naye Kazidi

Njaa Yeye
Tetemeko Yeye
Ajira kusitishwa Yeye
Mishahara kutokupanda Yeye
Mizigo bandarini kupungua Yeye
Hela Mtaani Kupotea Yeye
 
Haaahahhah Acha Kumpa Hasira Unajua Huwa Anapitia JF na Mitandao mingine... Anaweza Akaitisha Press ...

Ila Naye Kazidi

Njaa Yeye
Tetemeko Yeye
Ajira kusitishwa Yeye
Mishahara kutokupanda Yeye
Mizigo bandarini kupungua Yeye
Hela Mtaani Kupotea Yeye
Faru yeye
Marupu rupu ya watumishi wa umma yeye
Ukanda yeye
Teuzi za kidini yeye
Kuteua mapropesa na madakitari yeye
Kuteua makanali na magenerali yeye
Nchi kupata miungu watu
Mapangaboi yeye
 
"KILA MTU ABEBE MSALABA WAKE, SERIKALI HAINA MASHAMBA, SITATOA CHAKULA CHA BURE"
Ni nukuu ya maneno yaliyosema na Magufuli, wiki iliyopita akiwa ziarani Kagera.

My Take.
Rais hana muda wala mpango wa kushughulikia baa la njaa nchini. Kuendelea kumlilia ni kupoteza muda tu na kutazidi kumkera na mwisho wa siku huenda akashusha adhabu kali kwa wanaomlilia.
 
Mbona sisi tupo mjini hakuna mashamba,
hakuna kilimo, hakuna kufuga,kila kitu kununua....watu tushajua serikali haishuguliki na watu wazembe na lelemama..kukaa kuoa tu na kuzaliana na kushindwa hudumia famila zao kwa wingi wao.....kiukweli tufanye kazi wajameni.
 
Back
Top Bottom