mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,792
Ninavyomjua rais wetu atakuja kuuliza kwani wakati wa kampeni niliwaahidi njaa? Fanyeni kazi.acheni kulia lia njaa. Mnataka serikali iwalishe hakuna chakula cha bure, ardhi ya kijani mkalime.