Tipwa tipwa

attachment.php


KHAAA

Huyo wa kwanza kulia mbona ki-modo kabisa, mkuu hebu nidondoshee mawasiliano yake...
 
Liliwahi kunifuata moja linafanana na huyo wa kwanza kushoto,wacha nilitoe mbio lakini halikukoma mpaka mwaka jana ilinibidi nihame mji..

Mmmmmmh mbona unanikatisha tamaa mapema hivi, manake mimi ni kama huyo wa pili kutoka kushoto. Lakini kwa sababu umetakasika najua haitakuwa kama wakati huo.
 
jamani msiwaseme hivyo wanadamu wenzanu. Mungu katuumba kwa namna ya ajabu sana. wembamba, wanene wote tu watamu ili mradi maumbile yamekamilika. hayo mnayoona hapo ni maumbile ni ya nje tu, chini na ndani ni kama wengine. amini msiamini ukimthamini utampenda sana, ni mtamu kama wengine na hata kuwazidi baadhi yetu. Glory to God
 
jamani msiwaseme hivyo wanadamu wenzanu. Mungu katuumba kwa namna ya ajabu sana. wembamba, wanene wote tu watamu ili mradi maumbile yamekamilika. hayo mnayoona hapo ni maumbile ni ya nje tu, chini na ndani ni kama wengine. amini msiamini ukimthamini utampenda sana, ni mtamu kama wengine na hata kuwazidi baadhi yetu. Glory to God


Mtumishi unanichekesha, eti ni mtamu kama wengine. Kweli mwaya Mungu atuumba vile kwa ajili ya utukufu wake.
 
Wakuu ngoja niwaeleze kitu.Hawa mnavyowaona ivyo siyo kosa lao ila ni kutokana na utamaduni wa vyakula vyao.American foods nyingi zinakuwa na wingi wa Calories and Fats so ndio maana waamerica wengi pamoja na mazoezi kuwa part ya maisha yao bado wana shambuliwa sana na ugonjwa wa obersity pamoja na maradhi ya moyo.Pili wenzetu hawa hawako manual kwenye kazi kama sisi ambao kugombania daladala kuwai kazini ni mojawapo ya zoezi automaticaly tofauti na hawa hukaa tu vituoni kusubiri treni za mwendokasi na pia tukumbuke sisi wanaoudhuria milo mitatu ya kawaida ni wachache ukilinganisha na wao misosi sio swala la kuumiza kichwa.Nawakilisha.
 
hivi hata "shamba" wanaweza kusafisha kweli?

mhh sidhani kwa kweli hapo walipo hata wamesahau vitumbua vinafananaje hahahahahaaa,maana kunyanyua huo mtumbo pia ni kazi nyingine na unahitaji msaada wa watu kama sita hivi:)
 
jamani msiwaseme hivyo wanadamu wenzanu. Mungu katuumba kwa namna ya ajabu sana. Wembamba, wanene wote tu watamu ili mradi maumbile yamekamilika. Hayo mnayoona hapo ni maumbile ni ya nje tu, chini na ndani ni kama wengine. Amini msiamini ukimthamini utampenda sana, ni mtamu kama wengine na hata kuwazidi baadhi yetu. Glory to god

amen.
 
Wazee wa bandari izo za kigiriki!mshindwe wenyewe! Paka jimmy hapo inabd umtafte mbwa! Lol!
 
Mtumishi unanichekesha, eti ni mtamu kama wengine. Kweli mwaya Mungu atuumba vile kwa ajili ya utukufu wake.

unajua imebidi niseme hivyo "watamu kama wengine" manake kuna watu nimeona wanawaona kama wana kasoro lakini wakikubaliwa wengi wao hawatakumbuka hata kupima! sote tu sawa na maumbile ya nje hayatufanyi kuwa na kasoro hata yangekuwa namna gani. upendo wa kweli ni kwa mtu na sio umbile la mtu, upendo ukiangalia umble, hiyo ni tamaa siyo upendo. asante kwa kunielewa. sifa na utukufu apewe Bwana
 
Mmmmm tunaweza kabisa, kwani unadhani tuko tofauti sana wala hatujioni tofauti.

mhh sidhani kwa kweli hapo walipo hata wamesahau vitumbua vinafananaje hahahahahaaa,maana kunyanyua huo mtumbo pia ni kazi nyingine na unahitaji msaada wa watu kama sita hivi:)

kuna viserengeti boys hupewa kazi ya palizi akimaliza kazi analipwa hapohapo vituzz
 
Hadi wewe mtakatifu??? wameumbwa nao kwa mfano wa Mungu........:shock:



Mama hata kama ni kwa mfano wa mungu lakini wa hivi mh,atanisamehe.

Mmmmmmh mbona unanikatisha tamaa mapema hivi, manake mimi ni kama huyo wa pili kutoka kushoto. Lakini kwa sababu umetakasika najua haitakuwa kama wakati huo.


Usijali tutaanza jogging kila siku kilomita kumi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom