Tips to recognize fake iphones;

Hivi kwani hakuna njia nyingine kama ya code number kutambua simu fake kama ilivyo kwa NOKIA unabonyeza *#0000# inakupa details zake? wakati kwa NOKIA feki ukibonyeza hizo code inabaki inakushangaa tu, hivyo inakuwa rahisi kujua ni fake au original.

Hii kitu now unajidanganya ha wachina nao sasa unaweka hizo number na inakuja manufature date na kila kitu
 
Kuna nokia fake ukipiga hiyo code zinakubali. Nahis kununua kwa dist wa ukweli ndo kila kitu
 
BACK TO TOPIC
kama una iTunes inastalled in your pc uki unga na iphone yako,itunes itai recognize kama ni original iPhone/ipod/ipad ikishindikana iwekee mashaka
 
wewe una wazimu ehh, kuna simu yenye bei zaidi ya iPhone? acha iphone 5 na 4s, hiyo iphone 4 ya 32gb mpya dukani hakuna blackberry yenye bei kiasi hicho! kwanza blackberry sio smartphone, labda muiite messenger phone maana hakuna cha ziada ukiacha hiyo bbm, simu haufanyi customization yeyote ipo kishamba mwanzo mwisho! sijaona blackberry yeyote inayofaa kuuzwa hata laki mbili,,

Heeh, jamani hizi elimu hamuwezi kuzitoa kwa lugha tofauti na ulivyoandika hapa? Mimi siyo mtumwa wa hizi gadgets lakini ningependa kujua the sides za blackberry vs iphones, ila kwa maelezo yako mie choka kabisa....
 
Hivi kwani hakuna njia nyingine kama ya code number kutambua simu fake kama ilivyo kwa NOKIA unabonyeza *#0000# inakupa details zake? wakati kwa NOKIA feki ukibonyeza hizo code inabaki inakushangaa tu, hivyo inakuwa rahisi kujua ni fake au original.

Kakuongopea nani?
Hata simu za mchina ukibofya hizo namba unapata details vizuri tu...
 
wewe una wazimu ehh, kuna simu yenye bei zaidi ya iPhone? acha iphone 5 na 4s, hiyo iphone 4 ya 32gb mpya dukani hakuna blackberry yenye bei kiasi hicho! kwanza blackberry sio smartphone, labda muiite messenger phone maana hakuna cha ziada ukiacha hiyo bbm, simu haufanyi customization yeyote ipo kishamba mwanzo mwisho! sijaona blackberry yeyote inayofaa kuuzwa hata laki mbili,,

Ushamba mzigo!
Kipimo cha ubora kwako ni bei kumbe... Mi nikajua ni mahitaji yako ya simu?
 
wewe una wazimu ehh, kuna simu yenye bei zaidi ya iPhone? acha iphone 5 na 4s, hiyo iphone 4 ya 32gb mpya dukani hakuna blackberry yenye bei kiasi hicho! kwanza blackberry sio smartphone, labda muiite messenger phone maana hakuna cha ziada ukiacha hiyo bbm, simu haufanyi customization yeyote ipo kishamba mwanzo mwisho! sijaona blackberry yeyote inayofaa kuuzwa hata laki mbili,,

Chifu vipi kuhusu hii kitu; ilikuwa inaenda hadi £ 1300 kwa bei za chini.
 

Attachments

  • a409e11c7859a232682c36633b591ed0.jpg
    a409e11c7859a232682c36633b591ed0.jpg
    20.6 KB · Views: 60

mtaongea sana mara iphone sijui blackberry or samsung, htc ila huyu ndio kiboko yenu wooote...
Nokia_N1_Android_concept.png
 
Tatizo ninaloliona ni kwamba mtu ametumia tu sim aina moja halafu anaponda simu ambayo hajaitumia

Waliotumia Blackberry pamoja na iPhone waeleze tofauti zao!

Mimi nimetumia Nokia, nikaenda Blackberry halafu nikatumia akina Apple.

Kwangu mimi kwa uzoefu nilioupata SIJAONAGA KAMA APPLE!
 
Tatizo ninaloliona ni kwamba mtu ametumia tu sim aina moja halafu anaponda simu ambayo hajaitumia

Waliotumia Blackberry pamoja na iPhone waeleze tofauti zao!

Mimi nimetumia Nokia, nikaenda Blackberry halafu nikatumia akina Apple.

Kwangu mimi kwa uzoefu nilioupata SIJAONAGA KAMA APPLE!

Of course,

"HUJAONAGA"

What should I expect.

Hujajibu maswali, una vitu basic kama native MicroSD , USB, Flash support?

Au unafuata hype bila hata kujua specs kwa sababu "HUJAONAGA"?
 
Teknolojia ya zamani sana. Hivi washaweka native support for basic things kama MicroSD, USB, Flash?

Hahahaha!

teknolojia ya zamani?

Sasa ebu sema ni ipi hiyo unaona ni ya kisasa kuliko iPhone?
 
Of course,

"HUJAONAGA"

What should I expect.

Hujajibu maswali, una vitu basic kama native MicroSD , USB, Flash support?

Au unafuata hype bila hata kujua specs kwa sababu "HUJAONAGA"?

for me those are of less importance so far!

Vinginevyo ningeshahamia kwa Mchina!!


Hizo USB nazitumia katika laptop, Desktop etc!
 
for me those are of less importance so far!

Vinginevyo ningeshahamia kwa Mchina!!


Hizo USB nazitumia katika laptop, Desktop etc!

Ndo maana nasema outdated technology, for outdated people.

You might as well use "Mshindi" of old.

Wakati watu wana merge kila kitu wewe unaongea Desktop, Laptop na simu!

Na closed ecosystem ya Apple.
 
Blackberry rahisi sana toa betri ukirudisha itawaka yenyewe taking not less than a min and a half (not very sure with os 7 phones) the other thing ni uwepo wa bbm

BBM is a proprietary ecosystem.You are basically closed in with restrictions.

Why would any techno savvy person want a closed ecosystem instead of an open platform?
 
Back
Top Bottom