kaka amani...choka anasema kwanini alitolewa kwenye nyumba aliyopangishiwa na zizzou?....mkataba wa nyumba ulikwisha ndio maana baba yake choka akamlipia for 2years au sio?...muulize choka maswali haya....
1- je alipangishiwa nyumba kwa masharti yapi yeye na mwajiri wake waliyowekeana?...i.e. ni moja kati ya terms za mkataba kati ya choka na zizzou?
Mkuu kwanza kama ulivyosikia mkataba wenyewe wa hati hati haijulikani kama walitia sahihi au ni mbwembwe tu za mjini za maneno.
2- je kuuza nguo za zizzou ni moja wapo ya masharti ya kazi aliyoajiriwa?...kama sio kwann alikwenda kuuza nguo mpaka hayo yakamkuta?
Jamaa aliajiriwa kama DJ wa Zizzou Ent. Kwa hiyo alitakiwa kusimama kwenye Show zote za wasanii walio chini ya Zizzou kama DJ, hayo ya kuuza nguo nafikiri jamaa alikua anapiga kazi kiaina au alikua anafata ule mstari kwenye Job description unaosema To perform any other task given by the Manager
3-..choka ana umri gani?...naanza ku-smell rat here..analipiwa kodi ya nyumba na baba yake wakati amesign contract na zizzou?...nahisi kama ni under age kusign mkataba..wish baba yake angelisgn on his behalf kama mzazi wake....ila pia ni AJIRA KWA WATOTO....kama ni above 18...nahisi dogo suala la financial management yake ipo hovyo sana kiasi cha kushindwa kujilipia accomodation...
Hayo mambo ya kuwa 18 huyu mkuu ameshapita huo umri zamani, ila ni kuwa tu mambo ya kipato cha kulipia nyumba baada ya kutokuafikiana na Zizzou jamaa alikua hana
4..mwambie aweke mkataba/makubaliano waliyofikia na zizzou kwenye blog yake tutamsaidia kumwambia alipokurupuka...pia ajifunze kutumia lawyers hata kwa ushauri..(here is an oppertunity kwa lawyers/lawfirms..toeni msaada wa kisheria kwa how celebrities wetu wa kibongo japo kwa malipo kiduchu ..naona hawajui lolote kuhusu sheria)
..NI MAONI TU WWADAU
Nakubaliana na wewe kuwa jamaa alikurupuka.