Tipper driver dodoma (tump truck driver)

Tipper driver dodoma (tump truck driver)

Joined
Oct 17, 2016
Posts
13
Reaction score
9
Salamu wakuu,

Kama nitakuwa nimekwenda nje ya mada nawaomba radhi ,mimi ni dereva wa muda sana katika ufanyajikazi wa tipper kubwa (gari za kusafirisha material ya ujenzi) nimefanya kazi chanukah,mbagara na badae nihamia Dodoma wakati mji unajengwa mpaka sasa ndiyo makazi yangu kwa bahati nzuri kipindi chote hicho nilikuwa na gari ya boss wangu nafanyia kazi ila toka mwishoni wa mwezi uliopita ameiuza maada ya matatizo yake kifamilia kwaiyo mpaka sasa nimejikuta sina gari ya kufanya nayo nategemea deiwaka.

Maelezo yote hayo niliyatoa kiufupi hasa lengo langu. Naomba kama kuna mmiliki au boss anaeweza kununua tipa kubwa aina yoyote ninaweza kufanya nae kazi ni nina uhakika wa kila siku kulipa hesabu yake ya Tsh. 400,000 per day na nitaitunza gari yake kama yangu (sifanyi kazi saa 24 usiku), ombi langu ni hilo.

Mawawasiliano yangu 0673654598.

Pia nina contact ya kiwanda cha mbolea cha itracom kilichopo nala Dodoma, kwahiyo gari yake itabeba mbolea ya samadi ambayo ni nyepesi.

0673654598 ,0620654597

20230620_134332.jpg
20230620_105811.jpg
20230530_140910.jpg
20230530_140623.jpg
20230530_140943.jpg
 
Hapa zinabeba Nini
Zinabeba mbolea ya samadi mkuu(mavi ya ng'ombe ) zinatoa kijijini zinapeleka kiwanda cha mbolea na warundi ITRACOM ,maana nina tenda Pele ya kila siku huwaga wananikodi kwa sasa sina gari ndiyo maana natafuta nirudi kuendelea kufanya nao kazi
 
Zinabeba mbolea ya samadi mkuu(mavi ya ng'ombe ) zinatoa kijijini zinapeleka kiwanda cha mbolea na warundi ITRACOM ,maana nina tenda Pele ya kila siku huwaga wananikodi kwa sasa sina gari ndiyo maana natafuta nirudi kuendelea kufanya nao kazi
Hizo mbolea kiwandani wanazalishia nini
 
Back
Top Bottom