Kuna sehemu nimesoma makampuni yanasema ikifika kesho watahamia satellite nyingine haya ya ulaya moja iko Germany kwa ya tanzania sijui wanasubilia mpaka jamaa wafanye marekebisho ambayo haijulikani yataisha lini
Taarifa kushusu amos 5 satellite kutoka israel:
Leo wataalam kutoka israel wa amos 5 satellite wametangaza kwamba satellite imepotea!.
Kwahiyo wanataka tuhame katika satellite ingeni. Tumesikitika sana sana na pia kwa wateja wetu thamani, hakuna jinsi. Tunaomba radhi, ni nje wa uwezo wetu.
Mazungumzo na satellite ingeni inaendelea.
Ting tuta tangaza rasmi satellite mpya na freq nk.
Kwa wale wote ambao wanaelewa mambo ya satellite nk. Na wametupa pole, ahsanteni. Tuombe turudi hewani haraka.
Pia kwa wateja wote ambao wamelipa kifurushi chao, tutarudisha kwa siku ambazo hatuko hewani.
Ting tunajali..wateja wetu...tafadhali vuta subira kidogo. Mungu awabariki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.