Ting kina tatizo leo?

MUSIGAJI

JF-Expert Member
Dec 26, 2014
2,187
2,462
Wakuu heshima mbele?leo siku nzima king`amuzi changu cha TING nlkimaonesha no signal,Niko dar vipi kuna tatizo la TING leo kwa mwenyekujua?
 
Satellite ya amos 5 ina tatizo, hivyo channel zote na makampuni wanaotumia sat hiyo hawapo hewani till further notice
 
Tatizo la satelite ya amos5 ,hatujui itachukua muda gani kurudi ktk hali ya kawaida maana wamesema sat imepata hitilafu angani
 

Attachments

  • 1448161395189.jpg
    1448161395189.jpg
    32.8 KB · Views: 183
Wakuu kwa hiyo mpaka sasa bado hakuna ufumbuzi?

Kuna sehemu nimesoma makampuni yanasema ikifika kesho watahamia satellite nyingine haya ya ulaya moja iko Germany kwa ya tanzania sijui wanasubilia mpaka jamaa wafanye marekebisho ambayo haijulikani yataisha lini
 
Taarifa kushusu amos 5 satellite kutoka israel:
Leo wataalam kutoka israel wa amos 5 satellite wametangaza kwamba satellite imepotea!.
Kwahiyo wanataka tuhame katika satellite ingeni. Tumesikitika sana sana na pia kwa wateja wetu thamani, hakuna jinsi. Tunaomba radhi, ni nje wa uwezo wetu.
Mazungumzo na satellite ingeni inaendelea.
Ting tuta tangaza rasmi satellite mpya na freq nk.
Kwa wale wote ambao wanaelewa mambo ya satellite nk. Na wametupa pole, ahsanteni. Tuombe turudi hewani haraka.
Pia kwa wateja wote ambao wamelipa kifurushi chao, tutarudisha kwa siku ambazo hatuko hewani.
Ting tunajali..wateja wetu...tafadhali vuta subira kidogo. Mungu awabariki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom