Timu ya ushindi UKAWA yavurugana, wadai kuna wasaliti miongoni mwao

MMejikomba, tigo zimepigwa na wamewatosa sasa mnajaribu kujipendekeza kwa njia za mkato....umechelewa sana na utaishia kuokota makopo lkn wana inji wameshaamua kuwa nyie sasa basi. Muendelee kuuana na kuua wenzenu tuu..
 
Timu ya ushindi ni sisi wapiga kura na hatujavurugana. Subiri tarehe 25 ndo utajua kama tumevurugana au umejivuruga kama si kuvurugwa mwenyewe.
 
Baba wa Taifa iliwai kusema watz wakikosa mabadiliko ndani ya ccm basi watatoka nje ya ccm .
Na pia kiongozi bora atatoka ccm sasa tumempata ni lowassaaaa
 
Zikiwa zimebaki siku chache kuelekea uchaguzu mkuu, hali imezidi kuwa mbaya kwa kambi ya UKAWA kutokana na migogoro isiyoisha inayoibuka kila siku. Katika siku mbili hizi kumeibuka shutuma miongoni mwa viongozi wa UKAWA wakiwashutumu wenzao kuwa ni wasaliti. Baadhi ya watu wanaoshutumiwa kuwa ni wasaliti ni Waziri mkuu Mstaafu Ndugu Fredrick Sumaye anayedaiwa kutumwa na vyombo vya mfumo kwenda kuimaliza UKAWA kwa kuvujisha siri za ndani kabisa za UKAWA (Hii inathibitika siku alipotangaza kujitoa ndani ya CCMpale aliposema nahama CCM ili kuiimarisha CCM njeya CCM). Pia mtu mwingine anayeshutumiwa kuhujumu UKAWA ni Mzee Matson Chizii ambaye alikuwa ni mtumishi wa CCM kwa muda mrefu sana, ambaye pia ni mtu aliyebobea katika masuala ya usalama ndani ya CCM, na pia amebobea katika mikakati na mbinu za kushinda uchaguzi. Mzee Chizii anahisiwa kutumia mikakati ya UKAWA kwa kutengeneza mikakati mbadala itakayoisaidia CCM kushinda

Tupe chanzo cha habari zako, siyo tu unalala kitandani na mkeo, mnaota then unakuja na ndoto zako!!!
 
Wanahaha tu, wameshaona ushindi si halali yao tena ndo wanaanza kutafuta sababu. Ukweli ni kwamba hakuna mgombea mwenye uwezo mkubwa na sifa nzuri za kumshinda Magufuli, acha washindane kwenye ubunge tu lakini kwenye Urais Magufuli kapita bila kupingwa
 
Back
Top Bottom