kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 16,247
- 16,169
Uwezo wa Morocco na wenzake akina Julio umeishia pale.
Morocco anateua wachezaji kwa kubalance badala ya uwezo wa wachezaji. Anaacha nje wachezaji wenye uwezo na kuingiza ndani wachezaji kwa kuzingatia Simba, Yanga, Azam na Zanzibar. Mfano, unamuacha Chikola nje na kumuingiza Shehani ni sawa?
Kuwaacha wachezaji kama Kibwana, Farid, Kibu ni kujipiga risasi mguuni
Morocco anateua wachezaji kwa kubalance badala ya uwezo wa wachezaji. Anaacha nje wachezaji wenye uwezo na kuingiza ndani wachezaji kwa kuzingatia Simba, Yanga, Azam na Zanzibar. Mfano, unamuacha Chikola nje na kumuingiza Shehani ni sawa?
Kuwaacha wachezaji kama Kibwana, Farid, Kibu ni kujipiga risasi mguuni