Wapinzani wanatakiwa kujifunza kitu, wanatakiwa kupunguza mihemko, wanatakiwa kutulia na kufanyia kazi tafiti za kisayansi, wanatakiwa kuachana na wataalamu "Madokta" na "Maprofessa" uchwara wengi wao wako kimaslahi na wamezoea kupika data na kucopy na kupesti............kila mara nasema ushindi katika chaguzi ni mahesabu,ni ujuzi wa kutumia kisawasawa udhaifu wa mpinzani wako.Tatizo letu sisi ni wepesi wa kupinga kila kitu yaani hawa UKAWA hata ukiwaambia wao watashinda watapinga tu.