Kwenye ukweli sema ukweli sio unaweka unazi hadi unaongea uwongo,Milito alichezeshwa beki wa kushoto.Mara nyingi Pep alivyokuja alikuwa anampanga Sergio kama defensive midfielder Toure akawa anachezeshwa kama beki wa kati wakati Pique & Puyol wameumia au wana kadi kama wanavyochezeshwa Mascherano na Song kwa sasakweli ndio maana nimejirudi,maana alikaa sana bench sikudhani kama kuna mechi alicheza,ila ya Inter nakumbuka gabriel milito wa barca alicheza kukabana na kakake diego milito,yaya toure sidhani mambo mengi ndio mana imenifanya nitake kukumbukia vizuri,maana toka ile final uefa vs man utd alicheza beki sijamuona tena akicheza yaya toure
Kwenye ukweli sema ukweli sio unaweka unazi hadi unaongea uwongo,Milito alichezeshwa beki wa kushoto.Mara nyingi Pep alivyokuja alikuwa anampanga Sergio kama defensive midfielder Toure akawa anachezeshwa kama beki wa kati wakati Pique & Puyol wameumia au wana kadi kama wanavyochezeshwa Mascherano na Song kwa sasa
Well Barca fan hatuwezi kuwa sahihi kwa kila kitu kaka, jaribu kuwa mvumilivu. Umeona Real Sociedad juzi walivotufanya sasa Real Madrid wanachonga mno!!!!!!gutierez Mupirocin ALEYN Jacobus Mourinho
Again Gutierez now nimeanza kuwa na mashaka na ushabiki wako wa Barca,unajifanya unajua sana sijui kwa nini hutaki kukubali ukweli.Nilishakwambia baki kwenye ukweli punguza unazi hata mimi ni shabiki wa Barca now umekuja na story nyingine eti Yaya Toure hakuwepo wakati Inter anamtoa Barca.Game ya kwanza kule Italy Toure hakucheza alikuwa benchi beki walicheza Pique na Puyol,game ya marudiano Nou Camp Puyol alikuwa majeruhi Pep akawapanga Yaya Toure na Pique kati ,Gabi Milito akapangwa kushoto Dani Alves kulia.Nakumbuka kuna goli Bojan alifunga dakika za mwisho refa alikataa Toure alishika/au alikuwa offside(sikumbuki vizuri) refa akalikataa
FYI:Yaya Toure aliondoka Barca 2010 na kutua Manchester City
co mimi tu peke yangu,Spain nzima jumlisha Del Bosque,Sergio ndio chaguo la kwanzabora umwambie ww maana hy shabik mwenzetu kapitiliza, ukisoma Comment zake za nyuma anakwambia hakuna game Barca aliyepigwa huku Busquets akiwa dimbani.
Sio unazi ni ukweli halisi,wameondoka wengi nilikuwa sina habari unadhani bench wametemwa,eg petit,affelay,hleb,eidur gudjohnsen,ndio maana nimekumbuka hata final 2009 barca vs man utd,silvinho aliewekwa bench sana na ashley cole arsenal,alicheza mechi hiyo,maana aliwekwa bench na van bronkhorst na baadae abidal pale fc Barcelona,ndio maana mimi yaya toure sikumuona gem za barca toka ile final vs man utd alicheza mkoba walioshinda barca 2-0,nikajua kishaondoka,ila kukosea kawaida sio unazi,mwambie jamaa yako aelewe sergio ndie alie7busha yaya akimbie namba ya kiungo,na hata keita ambae nae kahama alikuwa hachukui namba labda ktk king cup au sub kwa xavi ambae umri nae amalizi kila mechi au iniesta nae majeruhi muda mwingine.Kwenye ukweli sema ukweli sio unaweka unazi hadi unaongea uwongo,Milito alichezeshwa beki wa kushoto.Mara nyingi Pep alivyokuja alikuwa anampanga Sergio kama defensive midfielder Toure akawa anachezeshwa kama beki wa kati wakati Pique & Puyol wameumia au wana kadi kama wanavyochezeshwa Mascherano na Song kwa sasa
Sio unazi ni ukweli halisi,wameondoka wengi nilikuwa sina habari unadhani bench wametemwa,eg petit,affelay,hleb,eidur gudjohnsen,ndio maana nimekumbuka hata final 2009 barca vs man utd,silvinho aliewekwa bench sana na ashley cole arsenal,alicheza mechi hiyo,maana aliwekwa bench na van bronkhorst na baadae abidal pale fc Barcelona,ndio maana mimi yaya toure sikumuona gem za barca toka ile final vs man utd alicheza mkoba walioshinda barca 2-0,nikajua kishaondoka,ila kukosea kawaida sio unazi,mwambie jamaa yako aelewe sergio ndie alie7busha yaya akimbie namba ya kiungo,na hata keita ambae nae kahama alikuwa hachukui namba labda ktk king cup au sub kwa xavi ambae umri nae amalizi kila mechi au iniesta nae majeruhi muda mwingine.
Ni mpira tu,naona sky news sports kichwa cha habari na wameripoti kuhusu hii mechi teh teh tehYameisha Kiongoz, Sababu ya Barca kufungwa ilikuwa ni ipi? Mm sikubahatika Kuicheck hy Game kutokana na Shughuli
Watu hawalalamiki kuhusu wachezaji wa EPL kuwepo ,tunataka wachezaji waliofanya vizuri 2012 ndio wawepo afadhali ya hii kuliko ile ya FIFA.Dani Alves,Marcelo,Gerard Pique,Xabi Alonso hawakustaili kabisa kuwa kwenye hiyo timu