Nundu_Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 811
- 349
Kwa hayo uliyosema kama nilivyo ya -highlight hapo, unakusudia kusema nini? "...Mola ana umbile na umbile lake halifanani na kiumbe chochote...". Hii maana yake nini? Kwa vipi ni tofauti na: 'hakuna anaejua umbile la Mola'?Mimi tangu mwanzo nilikwambia kabisa kwamba Mola ana umbile na umbile lake halifanani na kiumbe chochote,