Fasouls
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 939
- 316
Kampuni ya microsoft iko mbio kuakikisha mpaka mwakani watumiaji wa windows XP OS watakuwa wameupgrade to windows 8 kwan mpaka sasa kuna 37.7 percent ya wanaotumia windows xp kote dunian.
Wanasema "people are not forcing into other OS's but are convicing to do so kwan kutokufanya hvyo ni sawa na kuwa na gari bila spea"