tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,490
Kumekuwa na shida sana kuhusu kupata tyiketi ktk mchezo wa watani wa jadi wa Yanga na Simba kiasi cha kuleta mkusanyiko mkubwa sana siku ya mchezo pale tiketi zinapouzwa uwanjani.
TFF watujuze mapema leo kuwa tiketi zinauzwa wapi ili tununue leo Ijumaa kupunguza usumbufu wa kununua kesho uwanjani
TFF watujuze mapema leo kuwa tiketi zinauzwa wapi ili tununue leo Ijumaa kupunguza usumbufu wa kununua kesho uwanjani