Tija na ufanisi- tujadiliane

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
Maneno haya si mageni wengi wetu kwa hasa kuyasikia katikalugha ya kigereza ya kitamkwa na viongoziwetu wa siasa, makaazini na hata sisi wenyewe kuyasistiza manyumbani na sehemu nyingine.

Kwa kingereza ni effective na Efficiency.

Napenda kuleta mada hii kujadiliana dhana nzima ya haya maneno dhana ya utendaji ma mashirika ya ummma na hata ya sisi binasfi kuyafikiria kabla ya kushauri au kufanya jambo.


  • Je maana/defintion ya maneno haya ni nini
  • Kipi ni cha muhimu kati ya tija na ufanisi?
  • je inawezekana kuwa na tija bila ufanisi au ufanisi bila tija?
  • Je tunaweza kutolea mfano utendaji wa shirika lolote la kwa kutumia maneno haya mawili

Naanza kwa observation yangu ya kichokozi . Mara nyingi mashirika yetu ya umma viongozi na hata sisi binafsi katika maamuzi na utendaji na utumiaji wa rasilimali za ofisi ,shirika hata binafsi tumekuwa tunafanya maamuzi amabayo ni ya kitija(effective) lakini si ya kifanisi ( efficiency)

Nawasilisha
 
Tija= Ni ile hali ya kitu kuwa na faida au matokeo chanya, ni hali kitu, jukumu,mfumo ambao unamletee mtu manufaa
ufanisi- Ni namna ya kulifanya jambo kwa ubora na uangalifu wa hali ya juu. Pia ni hali ya umakini katika kufanya mambo yako
 
Efficency/ Ufanisi ni hali au uwezo wa kutumia rasilimali chache au ndogo kuzalisha au kutoa huduma kubwa

kwa maelezo haya inaonyesha maamuzi hayaya serikali yanalenga kwenye tija nasi ufanisi

  • Ofisi ya serikali kutumia shangingi just kusafirisha mtu au nyaraka ndogo kutoka mkoa mmja kwenda mwingine kwangu ni maamuzi yanayolenga tija na si ufanisi. kwa nn wasitumie Courier service na wafanyakazi kusafiri kwa mabasi.

  • Tume ya uchaguzi kuongeza idadi ya majimbo vile vile ni mamuzi ya kuuongeza tija bila kuzingatia ufanisi.

  • Serikali kutumia shangingi kumepeleka ofisa kutoka nyumbani kwenda kazini maamuzi yasiyo na tija na wala sio ufanisi. kwa nini wasitumie vitara au Mark II?
 
Back
Top Bottom