Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Maneno haya si mageni wengi wetu kwa hasa kuyasikia katikalugha ya kigereza ya kitamkwa na viongoziwetu wa siasa, makaazini na hata sisi wenyewe kuyasistiza manyumbani na sehemu nyingine.
Kwa kingereza ni effective na Efficiency.
Napenda kuleta mada hii kujadiliana dhana nzima ya haya maneno dhana ya utendaji ma mashirika ya ummma na hata ya sisi binasfi kuyafikiria kabla ya kushauri au kufanya jambo.
Naanza kwa observation yangu ya kichokozi . Mara nyingi mashirika yetu ya umma viongozi na hata sisi binafsi katika maamuzi na utendaji na utumiaji wa rasilimali za ofisi ,shirika hata binafsi tumekuwa tunafanya maamuzi amabayo ni ya kitija(effective) lakini si ya kifanisi ( efficiency)
Nawasilisha
Kwa kingereza ni effective na Efficiency.
Napenda kuleta mada hii kujadiliana dhana nzima ya haya maneno dhana ya utendaji ma mashirika ya ummma na hata ya sisi binasfi kuyafikiria kabla ya kushauri au kufanya jambo.
- Je maana/defintion ya maneno haya ni nini
- Kipi ni cha muhimu kati ya tija na ufanisi?
- je inawezekana kuwa na tija bila ufanisi au ufanisi bila tija?
- Je tunaweza kutolea mfano utendaji wa shirika lolote la kwa kutumia maneno haya mawili
Naanza kwa observation yangu ya kichokozi . Mara nyingi mashirika yetu ya umma viongozi na hata sisi binafsi katika maamuzi na utendaji na utumiaji wa rasilimali za ofisi ,shirika hata binafsi tumekuwa tunafanya maamuzi amabayo ni ya kitija(effective) lakini si ya kifanisi ( efficiency)
Nawasilisha