Tigo yaweka rehani usalama wa wateja wake

Mnyamahodzo

JF-Expert Member
May 23, 2008
1,932
985
Niliwahi huko nyuma kupata sms ya mtindo kama huo hapo chini nikapuuzia, jana watu wawili wajuani wangu wametumiwa sms yenye maneno haya YOUR CELL NUMBER HAS WON 415,000.00 POUNDS FROM NOKIA-UK PROMO. FOR CLAIMS SEND YOUR DETAILS TO OUR EMAIL: nokiamobile1 Sms hizo zimetoka message centre/number +4916096535804 na +4915143681055.

Jambo la kujiuliza kama watu wanaweza kutumia mtandao wa kutuma sms za kitapeli na kuiba taarifa za wateja wa tigo, usalama wa wateja uko wapi? Katika zama hizi za information technology watu hawaibi pesa(zinazoshika) tu bali taarifa ambazo zitawawezesha kuiba/kupata pesa nyingi baadaye. Kumbuka kuna watu katika simu zao wamehifadhi taarifa za maana {japo hili si zuri} na wengine huzitumia kwa mobile banking
Katika hili usalama wa wateja uko mashakani.
 
Da,,nimezoea kupata msg za kitapel kupitia my email sasa wamekuja huku?????shabashhh
 
Hata mimi nimepokea msg ya aina hiyo jana. Ni kweli Tigo wanatakiwa walinde usalama wa taarifa za wateja wao.
 
Sio tigo pekee bali hata voda ndo wamezidi wanakuambia na yako kwakuandika nakukuambia umebahatika kushinda ktk bahat nasibu yao na wanakutaka utume jina lako
 
[QUOTE=sasa kama azijasajiliwa manake na wewe umepata msg au mbona ueleweki watu wanatupa infomation muhimu wewe unapromot number of your lines sasa ili iweje? Au unatumia misaburi kusoma hoja. Nyie magamba ni kama mna unape flani hvi.
 
Hiyo taasisi ndio kitu gani,ni sawa na kuku tu,haina jino hata la bandia,,,,,,,wadau wa mawasiliano hapa nchin wameishika mkia na haifurukuti hata,,,,,,,
TCRA wako wapi na wanafanya nini?
<br />
<br />
 
sasa kama azijasajiliwa manake na wewe umepata msg au mbona ueleweki watu wanatupa infomation muhimu wewe unapromot number of your lines sasa ili iweje? Au unatumia misaburi kusoma hoja. Nyie magamba ni kama mna unape flani hvi.[/QUOTE said:
<br />
<br />
Sory, umefanya haraka kutukana kabla ya kuelewa hoja, hoja ya msingi hapa ni kuwa tigo hawako makini to the extent ya unregistered chip kupata mawasiliano. Usitukane tene, au ulitumia masaburi kutoa hoja?!
 
Sasa kama azijasajiliwa manake na wewe umepata msg au mbona ueleweki watu wanatupa infomation muhimu wewe unapromot number of your lines sasa ili iweje? Au unatumia misaburi kusoma hoja. Nyie magamba ni kama mna unape flani hvi.

Kwanini unamtusi mwenzako ktk jambo ambalo hajakosea? Wewe ndiyo umeshindwa kumwelewa. Nikusaidie, anachomaanisha ni kuwa tulitegemea na tunategemea kama namba haijasajiliwa basi muhusika hawezi kupata huduma yoyote kupitia namba hiyo. Unapokuta anapata huduma, tena ktk line 3 tofauti, hili jambo la hatari zaidi. Then, this proves that tigo is playing with security of Tanzanians. Je! Umeelewa?
 
sasa kama azijasajiliwa manake na wewe umepata msg au mbona ueleweki watu wanatupa infomation muhimu wewe unapromot number of your lines sasa ili iweje? Au unatumia misaburi kusoma hoja. Nyie magamba ni kama mna unape flani hvi.[/QUOTE said:
<br />
<br />
Hii ndiyo inaitwa 'prejudice' kwa kimombo. Sasa umasaburi wangu unahusishwa vipi na Nape na CCM? Au kwasababu ulishampa mbwa jina baya kwahiyo unafikiri kila kitu ninachoandika kina harufu ya CCM?
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Hii ndiyo inaitwa 'prejudice' kwa kimombo. Sasa umasaburi wangu unahusishwa vipi na Nape na CCM? Au kwasababu ulishampa mbwa jina baya kwahiyo unafikiri kila kitu ninachoandika kina harufu ya CCM?
<br />
<br />
UNAJUA MIMI BINAFSI NINA HACRA SANA NA WATU AMBAO KIMAKSUDI WANAUNGA MKONO MAGAMBA SS KWA SABABU NI NTU AMBAYE ANAONESHA KAMA KUTUANGUSHA FLAN KATIKA MBIO ZETU ZA KUDAI UHURU MI BINFSI KILA NIONAPO JINA LA MWITA25 NAHISI HARUFU YA USALITI NDO MANA HATA CJACHUKUA NN AMEANDIKA KWA JAZBA NKAWA NSHAPOST KILE AMBACHO MMKIONA. Kwa hiyo nawaombeni ladhi wote ila tuwe tunajihidi kudadavua hoja na michango kabla yakuipost ili na wale wanaoelewa vitu polepole waelewe kwa urahisi.
 
Good napenda kukufahamisha watu hao utakapowasiliana nao wataomba kufahamu Card namba yako ya benki ambayo inakua in group of four na CVV no. nyuma ya kadi yako zikiwa ni digits tatu hizo namba hua zinafuata baada ya namba nne za mwisho kwenye kadi yako kuwa quoted nyuma ya kadi yako. Hawana haja na a/c no. yako. Hapo ndipop watu wanapigwa sana sababu wakiona huyu mtu hajaomba a/c number wanajua hata kama ni mwizi hawezi kufanya chochote,mwisho wa siku pesa zinaibiwa elektonikali.

images
cvv_no.jpg
 
Jambo la ajabu hadi sasa <b>tigo</b> bado hawajablock hiyo flow ya sms za hao wezi. Pili, hadi sasa hawajatuma <b>taarifa za tahadhari</b> kwa wateja wao wote na kwamba wao hawahusiki. Mbona sms zao za matangazo {ambayo nyuma yake kuna wizi} wanajuhudi ya kutuma?
Are they part of this kind of deal?
 
hivi kwani ni tiGO peke yao?
voda?
airtel
sasatel
zantel

e, mails

hadi JF..............

tuwe makini wakuu, hilo ndo la muhimu
 
duuu kumbe jamaa hawa ni wezi? mie wamenitumia nikarespond postively
nikijua nimeula... nikafungua jf kwa kasi ili niwajuze wanajf machimbo yaliko
kumbe nakutana na thread hii...hawa tgo bana... sijui cc ni wateja au la!
 
hivi kwani ni tiGO peke yao?&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
voda?&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
airtel&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
sasatel&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
zantel&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
e, mails&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
hadi JF..............&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
tuwe makini wakuu, hilo ndo la muhimu
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
Kama yupo wa mtandao mwingine zaidi ya tigo na aseme, itasaidia sana.

Nimesema tigo kwasababu kwangu imetokea kwenye tigo line, wajuani wangu nao ni tigo lines, wako wachangiaji nao wamethibitisha kwa kiasi gani tigo wako dhaifu kuprotect mtandao wao dhidi ya hackers.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Ni kweli kuwa huwezi kumzuia hacker asiingie kwenye mtandao wako au e-mail yako 100%. Lakini unatakiwa kumpa ugumu wa kukuingilia. Na kama amekuingilia na umejua hilo, upesi unamblock na kuimarisha mtandao wako ili wakati mwingine asiingie kirahisi. <br />
<br />
Kwa kuwa huu ni uhalifu kuna shida gani basi kuwatahadharisha wateja wako? Ukimya wao, kwa conclusion ya haraka, ni kumaanisha wao wanataka waTZ waibiwe.
 
Back
Top Bottom