Mnyamahodzo
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 1,932
- 985
Niliwahi huko nyuma kupata sms ya mtindo kama huo hapo chini nikapuuzia, jana watu wawili wajuani wangu wametumiwa sms yenye maneno haya YOUR CELL NUMBER HAS WON 415,000.00 POUNDS FROM NOKIA-UK PROMO. FOR CLAIMS SEND YOUR DETAILS TO OUR EMAIL: nokiamobile1 Sms hizo zimetoka message centre/number +4916096535804 na +4915143681055.
Jambo la kujiuliza kama watu wanaweza kutumia mtandao wa kutuma sms za kitapeli na kuiba taarifa za wateja wa tigo, usalama wa wateja uko wapi? Katika zama hizi za information technology watu hawaibi pesa(zinazoshika) tu bali taarifa ambazo zitawawezesha kuiba/kupata pesa nyingi baadaye. Kumbuka kuna watu katika simu zao wamehifadhi taarifa za maana {japo hili si zuri} na wengine huzitumia kwa mobile banking
Katika hili usalama wa wateja uko mashakani.
Jambo la kujiuliza kama watu wanaweza kutumia mtandao wa kutuma sms za kitapeli na kuiba taarifa za wateja wa tigo, usalama wa wateja uko wapi? Katika zama hizi za information technology watu hawaibi pesa(zinazoshika) tu bali taarifa ambazo zitawawezesha kuiba/kupata pesa nyingi baadaye. Kumbuka kuna watu katika simu zao wamehifadhi taarifa za maana {japo hili si zuri} na wengine huzitumia kwa mobile banking
Katika hili usalama wa wateja uko mashakani.