Mutambukamalogo
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 397
- 85
<br />TCRA wako wapi na wanafanya nini?
<br />
Ndugu,swali hili ulipaswa uulize wakati ule wa kampeni za uchaguzi ambapo CCM walikuwa wakituma sms za kejeli kwa CHADEMA na CHADEMA nao walituma sms za kejeli kwa CCM. Sms zilikuwa hazina center number. Nasikia alijulikana aliyekuwa akhwafanyia kazi hiyo lakini mpaka leo hakuna kilicho endelea!. Tume legelege huzaa..........