Tigo yawang’ang’ania MwanaFA, AY

Kama Tigo waliletewa tu nyimbo na kampuni ingine kwann wao walipe deni?? hapo na wao Tigo wawafungulie wale mashtaka ikiwezekana Wasanii waongee na hiyo kampuni iliyowadhulumu na sio Tigo.

Nyimbo zenyewe zimechezwa mara ngapi, eti usije mjini sijui dakika moja hahaha
so pathetic.
 
TIGO LAZIMA WATALIPA DENI. KAMPUNI ILIYOCHEZA NYIMBO CYO CELULANT NI TGO, KATIKA HALI YA KAWAIDA, CELULANT WATAWAJIBIKA TGO, NA TGO WANAWAJIBIKA KWENYE DENI

TGO, HZ MIAMIA MNAZOKATA BILA 7BU KWENYE CMU ZE2 MNASHNDWAJE KULIPA DENI
 
Back
Top Bottom