tiGo WAP Manual Configuration Settings

Ramthods

JF-Expert Member
Jun 2, 2009
515
186
Ndugu wana JF,

Kama ulishawahi kujaribu kujiunga na wap service ya tiGo, na badala ya kutumiwa configuration unapata ujumbe kama 'Invalid or Unknown phone model', kuna njia mbili ambazo unaweza kutumia kupata huduma hii:

1) Njia ya kwanza ni kutuma model ya simu ambayo ipo kwenye database ya tigo, mfano Nokia N70 badala ya model halisi ya simu yako. Hii ni kutokana na uchache wa entries ambazo tiGo wanazo kwenye database yao.

Kama unatumia simu toyauti na Nokia, jaribu kutumia model nyingine ya simu yako, inawezekana ikawa kwenye database.

2) Njia ya pili ni kufanya manual configuration kutumia settings zifuatazo:

APN (Access Point Name) : tigoWap
Proxy Server: 10.168.20.80
Port: 8080
Username:
Password:

username na password acha blank (haziitajiki)

Kama utafanikiwa kuingiza configurations za hapo juu, utapata internet bila matatizo.

Karibuni
 
Ndugu wana JF,

Kama ulishawahi kujaribu kujiunga na wap service ya tiGo, na badala ya kutumiwa configuration unapata ujumbe kama 'Invalid or Unknown phone model', kuna njia mbili ambazo unaweza kutumia kupata huduma hii:

1) Njia ya kwanza ni kutuma model ya simu ambayo ipo kwenye database ya tigo, mfano Nokia N70 badala ya model halisi ya simu yako. Hii ni kutokana na uchache wa entries ambazo tiGo wanazo kwenye database yao.

Kama unatumia simu toyauti na Nokia, jaribu kutumia model nyingine ya simu yako, inawezekana ikawa kwenye database.

2) Njia ya pili ni kufanya manual configuration kutumia settings zifuatazo:

APN (Access Point Name) : tigoWap
Proxy Server: 10.168.20.80
Port: 8080
Username:
Password:

username na password acha blank (haziitajiki)

Kama utafanikiwa kuingiza configurations za hapo juu, utapata internet bila matatizo.

Karibuni

Kaka unatuma number ipi hiyo medel
 
Mie natumia nokia E71 its ok, but kuna jamaa yangu ana nokia 3110 inagoma kupata setings na amewapigia sana na wanatuma setings lakini model hii haipokei.
Tumejaribu kwa Zain na Voda inapokea vizuri but Tigo haitaki so please can someone help on that?
 
Kaka unatuma number ipi hiyo medel

Andika Jina la simu yako, mfano NOKIA, acha nafasi ikifiuatiwa na Model, mfano N70 Kisha tuma kwenda namba 500.

Mfano:
NOKIA 3110 kwenda 500
 
Mie natumia nokia E71 its ok, but kuna jamaa yangu ana nokia 3110 inagoma kupata setings na amewapigia sana na wanatuma setings lakini model hii haipokei.
Tumejaribu kwa Zain na Voda inapokea vizuri but Tigo haitaki so please can someone help on that?

Kama haipokei, the only way ni kuingiza configuration nilizozitoa hapo juu manually.

Ningekuelekeza jinsi ya kufanya, lakini sifahamu kama NOKIA 3110 menu yake inafanana na simu yangu. Me natumia NOKIA 5000d-2, Na pia nilishatumia NOKIA 2630. Zote nilifanya manual configuration.

Procedure ni kama ifuatavyo:
From the Main Menu, choose Settings
Then chagua Default Configuration Settings

Ikiwa kutakuwa kuna configuration tayari, delete zote kisha uanze mwanzo.

Still in the configuration menu, scroll down and choose Personal Configuration Setttings
The from the menu, choose Add New
Chagua Web

Then Jaza kama ifuatavyo:

Account name : weka jina lolote mfano MyWeb
Home page: weka web yoyoute, mfano www.google.com
User name na password acha blank

Kwenye Use prefered access point chagua No.
Kama utachagua Yes hapo juu, basi kuna settings nyingine zitakuwa disabled na ni muhimu sana uzijaze.

Chagu Access Point Settings (scroll down ili uione)

Kenye Proxy, chagua Enabled

Kwenye Proxy address enter : 10.168.20.80

Kwenye proxy port enter 8080

Chagua Bearer Settings

Na kisha kwenye Packet Data acc. pt andika tigoWap
Network type chagua IPv4
Authentication type chagua Normal
user name na password acha blank

Hapo utakuwa umemaliza na utapata internet kama kawaida.

Simu ya rafiki yako inaweza isiwe na mpangilio wa menu kama wa hapo juu, lakini nokia mara nyingi zinafana sana, so I hope haitakuwa shinda kwako.

Karibu sana
 
Ninawezaje kutumia internet nokia n95 8gb,natumia line ya tigo nikijaribu inaniandikia gprs not subscribed.
 
Ukienda kwenye internet service-Edit profile unakutana na vitu vifuatavyo; 1.Select profile2.Edit profile ,hapa unakuta vitu vya kuedit 1.Rename profile,2.Homepage,3.Data account,4.HTTP,5.Username,6.Password,Hebu nisaidieni hapo,Simu yangu ya line moja made in FINLAND
 
wakuu internet ya tigo inakubali manually bila ya kuchagua proxy. proxy chagua disable. apn jaza internet au hat znet inakubali. save halafu nenda kwenye profile . i activate profile ya internet. utapata net kama kawa
 
Nenda kwenye PC, website ya Vodacom Tanzania - Homepage utakuta sehemu pameandikwa internet and services click hapo. Then click activate your device. Utajaza namba ya vodacom ambayo muda huo ipo kwenye hiyo simu. Utachagua aina ya simu 4 ur case ni Nokia utaenda next utachagua N95 8GB Then uta bofya next watakupa authetification code utajaza then next watakutumia code kwenye namba ya simu uliyojaza then utajaza ile namba na at last watakuba options zote ambazo simu yako inaweza kupata. Please chagua internet then next watakutumia configuration very shortly then kama unataka another service go back on step chagua huduma na kwenda next. Namna hiyo tu. Hakikisha internet inakuwa ndo default. Ukikamilisha hapo utakuwa na uwezo wa kutumia tigo, airtel na voda bila kuhangaika. Nimewasaidia wengi sana na imefanya kazi na ninafanya hivyo kwa simu zangu zote pindi nipatapo. Sitegemei utaniambia umeshindwa maybe iwe N95 ya kichina hapo sitashangaa!

Muhimu: kama huna chip au laini ya voda azima ya mtu yeyote yule utatue tatizo lako, kumbuka kurejesha laini ya watu.
 
Ninawezaje kutumia internet nokia n95 8gb,natumia line ya tigo nikijaribu inaniandikia gprs not subscribed.

Fanya setting kupitia mtandao wa voda au airtel, zikikubalit weka line ya tigo na anza kutumia..au jaribu kufanya setting kupitia model nyingine ya nokia e.g nokia 6030
 
Ndugu wana JF,

Kama ulishawahi kujaribu kujiunga na wap service ya tiGo, na badala ya kutumiwa configuration unapata ujumbe kama 'Invalid or Unknown phone model', kuna njia mbili ambazo unaweza kutumia kupata huduma hii:

1) Njia ya kwanza ni kutuma model ya simu ambayo ipo kwenye database ya tigo, mfano Nokia N70 badala ya model halisi ya simu yako. Hii ni kutokana na uchache wa entries ambazo tiGo wanazo kwenye database yao.

Kama unatumia simu toyauti na Nokia, jaribu kutumia model nyingine ya simu yako, inawezekana ikawa kwenye database.

2) Njia ya pili ni kufanya manual configuration kutumia settings zifuatazo:

APN (Access Point Name) : tigoWap
Proxy Server: 10.168.20.80
Port: 8080
Username:
Password:

username na password acha blank (haziitajiki)

Kama utafanikiwa kuingiza configurations za hapo juu, utapata internet bila matatizo.

Karibuni

mkuu kwenye simu za kichina ukiunganisha na tigo inagoma lkn uki2mia voda inakubali tofautikubwa ipo kwenye ip adress

voda ip adress 010.154.000.008
na tigo ip adress ni
10.168.20.80

sasa hapo huwa kwenye tigo inagoma kwa kuwa hz namba hazijakaa 3 tatu.Kila baada ya nukta na cm za kichina huwa zinataka ip adress ambayo inakuwa na mamba 3 kisha nukta .

Kama tigo wana namba inayofanana na ya voda kimfumo plz naomba a2juze

ila kwa wale wenye cm za kichina 100% zinakubali mim nishafanya hiyo setting kwenye cm kama 3 nazimekubali.Lkn nilienda mliman city kwenye ofis za tigo,voda,air tel wakashindwa kuniunganishia kbs.
 
Tigo wamekuwa wauni sana nilienda kwenye duka lao hapa mlimani city nikawaomba wanielekeze wa kakataa nikawatupia lain yao nikaondoka mzuka ni voda bwana tuma neno wap nokia n70 to 15300 sasa iv unapata uduma asanteni
 
kama ilivo jukwaa la siasa kuna mada ambazo zinaekwa juu zinazokua sticky kila ukiingia unazikuta naomba moderator waeke setting za mitandao kama hii post na ishu za modem juu ukiingia tu jukwaa la technology maana zinakua repeated sana nafkiri itasaidia
 
Ndugu wana JF,

Kama ulishawahi kujaribu kujiunga na wap service ya tiGo, na badala ya kutumiwa configuration unapata ujumbe kama 'Invalid or Unknown phone model', kuna njia mbili ambazo unaweza kutumia kupata huduma hii:

1) Njia ya kwanza ni kutuma model ya simu ambayo ipo kwenye database ya tigo, mfano Nokia N70 badala ya model halisi ya simu yako. Hii ni kutokana na uchache wa entries ambazo tiGo wanazo kwenye database yao.

Kama unatumia simu toyauti na Nokia, jaribu kutumia model nyingine ya simu yako, inawezekana ikawa kwenye database.

2) Njia ya pili ni kufanya manual configuration kutumia settings zifuatazo:

APN (Access Point Name) : tigoWap
Proxy Server: 10.168.20.80
Port: 8080
Username:
Password:

username na password acha blank (haziitajiki)

Kama utafanikiwa kuingiza configurations za hapo juu, utapata internet bila matatizo.

Karibuni

sasa mimi natumia simu O2(oxygen) ni windows mobile hebu nisaidie nijunge na net ya tigo
 
Ndugu wana JF,

Kama ulishawahi kujaribu kujiunga na wap service ya tiGo, na badala ya kutumiwa configuration unapata ujumbe kama 'Invalid or Unknown phone model', kuna njia mbili ambazo unaweza kutumia kupata huduma hii:

1) Njia ya kwanza ni kutuma model ya simu ambayo ipo kwenye database ya tigo, mfano Nokia N70 badala ya model halisi ya simu yako. Hii ni kutokana na uchache wa entries ambazo tiGo wanazo kwenye database yao.

Kama unatumia simu toyauti na Nokia, jaribu kutumia model nyingine ya simu yako, inawezekana ikawa kwenye database.

2) Njia ya pili ni kufanya manual configuration kutumia settings zifuatazo:

APN (Access Point Name) : tigoWap
Proxy Server: 10.168.20.80
Port: 8080
Username:
Password:

username na password acha blank (haziitajiki)

Kama utafanikiwa kuingiza configurations za hapo juu, utapata internet bila matatizo.

Karibuni
Aisee ubarikiwe maana simu yangu ilijifanya hamnazo na hapa nilikuwa najiandaa kuweka wese kwenye bodaboda yangu ili niende Mlimani City ,sasa umeniokoa mtandao wa kumwaga
 
Back
Top Bottom