Tigo wabuni wizi mpya!

mimi ndomana niko mbioni kununua Thuraya sat.phone
 
ndio muwache kuwanakopakopa ovyo..
 
ndio muwache kuwanakopakopa ovyo..

Sijawahi kukopa tigo! Na hata kama mtu anakopa ndo umpandishie bei?

Mtu akikopa anamaanisha kapungukiwa sasa wewe unaona suluhisho ni kupandisha bei ili anunue??
 
Achana na mambo hayo...jiunge na vifurushi vya mwezi uokoe gharama zako
 
Kwa namna ulivyoeleza kiufundi haiwezekani wewe binafsi katika wateja wote ukawa unachajiwa tofauti.
 
Mpaka uwe fremanson kama hutaki utakimbia turn.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…