Tigo tutakutana mahakamani

Tigo tutakutana mahakamani

Tigo ndio zao mi kuna kipindi waliniunganisha na huduma ya clouds Fiesta wakawa wananitumia message za clouds huku wanakata hela wakati sijawahi kujiunga ilibidi niwandikie kwenye wall yao Facebook wakaniambia namna ya kujitoa ila wanaboa sana kwa huo wizi mtu hujajiunga then wanakuunganisha na huduma zao ili wakukate hela.
 
Wabunge wametoa povu wamenyamaza. Sijajua godfather wa hawa watu na kulindwa baada ya wizi wa jinsi hii. Kama kuna ushahidi dhahiri ni vema wakapelekwa kwenye sheria ili wengine waogope. Tanesco kwa mfano na hasara iliyolisababishia taifa na watu binafsi, inatia kinyaa kuwa bado wanapigiwa debe. Nchi ya majanga hii mbona?
 
hukumu ikishatolewa naomba kujuzwa nione kama inalipa na mie niibukie kutest zali :cell:
 
wife wanamkata kila siku 450 eti habari anajaribu kujitoa haiwezekani

Kwa nini asiachane nao au ana hisa?

Mimi baada ya hizi kero zao nimehamia mtandao ambao uko afadhali.

Laini ya tigo nimeiacha hadi watakapoamua kuifunga!
 
Wamejiakikishia kulindwa kwa kuweka vigogo kwenye board zao,wizi wa Tigo na Voda unatuletea hasara sana na usumbufu,faida ya kuuza vocha haiwatoshi??Voda wamenitapeli walinitetx nmeshnda zawad kutuma mdg kwnda no.walionielekeza wakanikata pesa na zawadi sikuiona,they becom so greedy mamlaka ya mawasiliano hawaoni hzo promotion za wizi wizi!kazi yao ni nn katka kisimamia sheria za mawasiliano?
 
Back
Top Bottom