PgSoft2008
JF-Expert Member
- May 15, 2008
- 264
- 73
wapendwa,
Nimekuwa iringa kwa wiki sasa, kitu kinachoniboa ni kwamba kila ifikapo jioni network ya tigo imekuwa ikisumbua. huwezi piga wala kupokea simu mpaka usiku sana. initially nilifikiri ni matatizo ya muda mfupi tu ila sasa nimejua kwamba ni serious issue.
inaonekana kana kwamba mitambo imekuwa saturated na haiwezi kuhudumia idadi ya customer waliopo hasa wakati wa jioni.
for the sake of retaining customers can they do something as we are all fed up.
nwakilisha.
Nimekuwa iringa kwa wiki sasa, kitu kinachoniboa ni kwamba kila ifikapo jioni network ya tigo imekuwa ikisumbua. huwezi piga wala kupokea simu mpaka usiku sana. initially nilifikiri ni matatizo ya muda mfupi tu ila sasa nimejua kwamba ni serious issue.
inaonekana kana kwamba mitambo imekuwa saturated na haiwezi kuhudumia idadi ya customer waliopo hasa wakati wa jioni.
for the sake of retaining customers can they do something as we are all fed up.
nwakilisha.