BABA JUICE
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 426
- 52
Leo nimeenda mlimani city nilikuwa na tatizo na tigo pesa..line nimesajili lakini kufika pale nikaambiwa nitoe kitambulisho changu copy hapo hapo ndani kuna photocopy mashine na copy ni tsh 500. Nikawauliza hii ni ohotocopy ya ofisi au ni biashara ya mtu binafsi...
Kwa ofisi zingine ukienda hawaitaji copy ya kitambulisho kama umeshasajiliwa na kama wakiitaji watatoa bila gharama zozote..nimeona kila mtu anaeambiwqa copy mia tano analalamika...je tigo wameshindwa kugaramikia copy moja kwa mteja au ndio njaa za waliopewa ofisi...kwanza utafikiri ni ofisi ya serikali watu
Kwa ofisi zingine ukienda hawaitaji copy ya kitambulisho kama umeshasajiliwa na kama wakiitaji watatoa bila gharama zozote..nimeona kila mtu anaeambiwqa copy mia tano analalamika...je tigo wameshindwa kugaramikia copy moja kwa mteja au ndio njaa za waliopewa ofisi...kwanza utafikiri ni ofisi ya serikali watu