Tigo na Airtel nitawashitaki

Tigo na Airtel nitawashitaki

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,679
Reaction score
5,165
Hizi tabia za kufanya simu zetu kama mabango ya matangazo yanazidi kunikera kwa siku unaweza kupokea hata text 10 za ofa zao wakati wanajua kuwa wanatukera.

Nitakuja kuwashitaki.
 
Back
Top Bottom