Tigo, Mungu anawaona munavyotufanyia.

Tigo, Mungu anawaona munavyotufanyia.

Ituzaingo Argentina

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2020
Posts
1,865
Reaction score
2,205
Asubuhi ya leo nimenunua kifurushi cha 1500, dakika 30 na mb 750. Sijatumia sana, and now naingia kuangalia salio zimebaki mb 300 na ushee.

Huwa natabia ya kuzima data ninapoingia social media, usiku vile vile nazima, but pamoja na yote haya na bado zinaliwa fasta. Sawa, no problem!!😔😔😔

Mungu anawaona, kwa staili hii hamutafika popote.

Kuweni makini nao sana, hawaaminiki hawa watu,
 
Jaribu kufanya yafuatayo
1.Kwanza washa Data Saver ON ili background apps zote zisifanye kazi unless zifunguliwe

2.Download Data Speedometer app ili uweze kumonitor matumizi yako ya data, Hapa utakua unaona idadi ya MB zote ulizotumia kwa siku husika

3.Punguza matumizi yasio ya lazima mfano kufungua Social Media Hovyo hovyo kufungua picha zisizo na msingi kwenye instagram kunakula sana MB n.k., Kama ni Mfanyabiashara wa Mtandaoni (i.e Unajibu msg za wateja, Kuwatumia picha na maelezo ya bidhaa, Kupost bidhaa ama huduma mtandaoni) Hivi ndivyo vitu muhimu

4. Weka Data Limit kwa Siku utumue MB kadhaa, Ukizidisha matumizi Utapata notification na Data inajizima automatically.

Nadhani ukizingatia haya Utapunguza malalamiko ya Kusema unakatwa ama unaibiwa MB na watu wa mitandao,
 
Jaribu kufanya yafuatayo
1.Kwanza washa Data Saver ON ili background apps zote zisifanye kazi unless zifunguliwe

2.Download Data Speedometer app ili uweze kumonitor matumizi yako ya data, Hapa utakua unaona idadi ya MB zote ulizotumia kwa siku husika

3.Punguza matumizi yasio ya lazima mfano kufungua Social Media Hovyo hovyo kufungua picha zisizo na msingi kwenye instagram kunakula sana MB n.k., Kama ni Mfanyabiashara wa Mtandaoni (i.e Unajibu msg za wateja, Kuwatumia picha na maelezo ya bidhaa, Kupost bidhaa ama huduma mtandaoni) Hivi ndivyo vitu muhimu

4. Weka Data Limit kwa Siku utumue MB kadhaa, Ukizidisha matumizi Utapata notification na Data inajizima automatically.

Nadhani ukizingatia haya Utapunguza malalamiko ya Kusema unakatwa ama unaibiwa MB na watu wa mitandao,

Ahsante mkuu, hiyo Data speedometer app unaweza ukanitag niione ilivyo?
 
Back
Top Bottom