Tigo mnakera na meseji mfululizo kuhusu bidhaa za TECNO

bigmind

JF-Expert Member
Oct 28, 2015
12,457
12,668
Mamlaka ya mawasiliano hivi kazi yenu ni nini? Kero za mitandao ya simu kwa wateja na watumiaji mawasiliano ya simu na internet hamuoni au kuna jambo linaendelea.

Mtu siku nzima mitxt mfululizo ya kuuza bidhaa zao ni kero kwa sisi watumiaji.

Wizi wa Mbs kwanini msipange viwango vya bei na mbs maana bei ziko juu mno na pia tozo zao ziko juu sana. Kama muda wa maongezi mnalegulate why MBs nazo msilegulate?

Sasa hivi 1000 unapata 400 afu ukiziweka faster zinaliwa mpaka kero, msichukulie internet kama anasa dunia siku hizi km kijiji na vitu mhimu kuwasiliana na dunia ni internet sasa MBs ziko juu hivyo mnadhani nini kitatokea sasa.
 
Nilikuwa natumia Tigo wiki 3 zilizopita Tshs 1,000 napata 350MB..sasa hivi natumia Halotel baada ya kushauriwa na wadau humu humu Jf Tshs 500 napata 600MB
 
SMS Vodacom nao ni balaa zaidi.

Sms Teleee
Lakini upande wa Pili:
Unajua Sms hizi zinastua,hasa pale ukiwa na mpango wa dili fulani ambalo unategemea sms,hahaha,sasa ukisikia sms tu,unarukia sim mbiooooooo,ukiona Tigo sms ndio hasira zinasidi na matusi juu unaitukana sms,tehetehetehete
 
Tigo ni wezi,na ukipiga makao makuu hawapokei wala sms hawajibu
Juzi nimenunua simu wakatangaza offer ya GB 10 kila mwezi na kifurushi cha 3500 kwa mitandao yote,wameiba wakaingiza kwenye namba nyingine, HAPA SINA GB WALA MUDA WA MAONGEZI

WEZI WAKUBWA HAWA
 
Tumia halotel baba toka maporin Tigo huko utapata tabu kjn halotel kwenye net habari ya mjin
Yaan mimi halotel namtumia 2000. Kwa ajili ya MB kila wik 500 napata Mb 600
 
Back
Top Bottom