Naitumia airtel, voda na Tigo nadhani kwa maisha ya kawaida ya kitanzania ni kwamba gharama za mtandao wa tigo ziko chini sana kiasi cha kujaribu kuendelea kuchukuliana na hali ya mtanzania wa kawaida lakini gharama zenu za Internet ziko juu tofauti na Airtel unaweka 2500 unatumia mwezi mzima hii inanifanya niitumie Airtel muda mwingi kuweka pesa na kupiga na kutumia Net. Hebu wafanyakazi wa Tigo mlioko humu jaribuni kurekesha hili