tuamie basi gani mkuu??kweli tigo noma 181.1 K bytes/sec mnajisifu!!
tuamie basi gani mkuu??
pamoja...inategemea uko eneo gani mkuu, kwa wajanja ndo pana nafuu
Mie nina Modem ya Airtel ila natumia laini ya tigo. Bundle ni *148*01# nachaguaga kale 24 hours, ka TShs. 400/-. Inakukuruka kinoma.
Mie nina Modem ya Airtel ila natumia laini ya tigo. Bundle ni *148*01# nachaguaga kale 24 hours, ka TShs. 400/-. Inakukuruka kinoma.