Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,032
Mbona watu wanalalamika sasaInatoa
Mbona watu wanalalamika sasaInatoa
Beee..... mwenzako anadaiwa.Njoo ule kwangu.
Asubuhi ilikuwa inasumbuaMbona watu wanalalamika sasa
Embu jaribu kunitumia....Nimejaribu kwangu inafunguka japo sijajaribu kutoa hela... Au kimbembe kipo kwenye kutoa?
Nimekupata sasaAsubuhi ilikuwa inasumbua
PoleKuna watu nimewaahidi kuwalipa leo imekuwa shida sasa
NdioBeee..... mwenzako anadaiwa.
Mkuu unafikiri kampuni kubwa kama Tigo mpaka wanaamua kufanya upgrades kwenye mifumo hawakuwa na business continuity plan!hii mambo inazikumba mpaka kampuni kama facebook,Yahoo n.k. itakuwa Tigo?Ukumbuke saa moja tu kwao system ikiwa down wanapoteza mamilioni ya hela,kwahiyo hawawezi kuwa wazembe hivyo unavyowaza...Wanapaswa kuwa na business continuity plan inayoelewa sio ya kujaribu jaribu...
ShngapEmbu jaribu kunitumia....
Ila hawajarudi mpaka sasaWalituma ujumbe kuna marekebisho lakini walituma tena kwamba wamerudi
Sent using Jamii Forums mobile app
Cheki mzee baba mbona kama imerudiIla hawajarudi mpaka sasa
Sh 70.Shngap
Ha ha haKwani na wewe hujala?
Nafahamu wanayo mkuu ni sahihi kabisa.... ila niliposikia tangu jana mpka leo that means wamepoteza sana.Mkuu unafikiri kampuni kubwa kama Tigo mpaka wanaamua kufanya upgrades kwenye mifumo hawakuwa na business continuity plan!hii mambo inazikumba mpaka kampuni kama facebook,Yahoo n.k. itakuwa Tigo?Ukumbuke saa moja tu kwao system ikiwa down wanapoteza mamilioni ya hela,kwahiyo hawawezi kuwa wazembe hivyo unavyowaza...
Weka namba nikuwekee sasaSh 70.