Pole sana mkuuKuna watu nimewaahidi kuwalipa leo imekuwa shida sasa
Jana na juzi nilipata msg ila walituma kusema huduma zimerudiKuna marekebisho wanafanya kwenye systems zao,walitangaza juzi,ilikuwa ni kwa usiku wa jana mpaka asubuhi ya jana huduma walisema zingerudia kawaida,sasa nadhani mpaka muda huu mambo hayajakaa sawa,si unajua mambo ya system upgrades yanavyozingua wakati mwingine,ila nadhani mambo yatakuwa sawa karibuni,ingawa usumbufu kwa wateja ni mkubwa sana...
Kwani na wewe hujala?
Tunaminywaje mkuu?Nasema kwa Mara ya Pili Nina wasi wasi Sana na vinavyo endelea kwenye hii mitandao ya Simu
Mwaka Jana mwishoni Mwenyekiti Wa bodi ya Wakurugenzi Vodacom Ali mafuruki alijiuzulu Wakaja Member wa board wawili Wazungu wakajiuzulu pia
Sasa Hivi Naona tuna Minywa na Vifurushi sio Voda wala Tigo, Mara Tigo Pesa kuna kimdudu gani huko kinatafuna ??
Nimejaribu kwangu inafunguka japo sijajaribu kutoa hela... Au kimbembe kipo kwenye kutoa?Tunaminywaje mkuu?
InatoaNimejaribu kwangu inafunguka japo sijajaribu kutoa hela... Au kimbembe kipo kwenye kutoa?
Wanapaswa kuwa na business continuity plan inayoeleweka sio ya kujaribu jaribu...Kuna marekebisho wanafanya kwenye systems zao,walitangaza juzi,ilikuwa ni kwa usiku wa jana mpaka asubuhi ya jana huduma walisema zingerudia kawaida,sasa nadhani mpaka muda huu mambo hayajakaa sawa,si unajua mambo ya system upgrades yanavyozingua wakati mwingine,ila nadhani mambo yatakuwa sawa karibuni,ingawa usumbufu kwa wateja ni mkubwa sana...