"Tigo fiesta" hakunaga shughuri ndogo

"Tigo fiesta" hakunaga shughuri ndogo

Fiesta ilikuwaga ya Serengeti tu. Siku hizi upuuzi tu. Hao tigo wameleta matabaka kwa wasanii.
Serengeti Figidi Fiesitraa 2012 Bhaaaaaas!!!,Serengeti Figidi Fiesitra 2013 No no no noma Sanaaaa!!
 
Hakuna kitu hapo , unawapamba tuu.... Kinachowabeba ni uzoefu na coverage ya Clouds fm , Ila hakuna jipya lolote watakalofanya....
Unamwambia boss wako hakuna jipya hapo ila anabebwa na experience yake (ambayo wewe hauna)[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hivi kutembelea shule ni ubunifu?
Hapana sio ubunifu kabisa. Na wewe si unatembeleaga mkuu?? [emoji3][emoji3][emoji3]

Tujifunze ku appreciate kazi za wenzetu jamani
 
Unamwambia boss wako hakuna jipya hapo ila anabebwa na experience yake (ambayo wewe hauna)[emoji3][emoji3][emoji3]
hao ndiyo watazania walivyo yani anakuambia hakuna chochote kipya hapo ni uzoefu tu.
sasa na mimi najiuliza huo uzoefu sio chochte tena??
 
Ila tuongeeni ukweli bifu na ule upande mwingine ume wapoteza kidgo clouds
Na uhalisia ni kuwa popularity ya fiesta imepungua Sana, na hii inasababishwa na kuwepo Kwa related festival kama Nandi festival , wasafi n.k mara sjui usku wa Nani Nani...na wote wanafanya the same thing, hata diamond mwaka Kesho ajipange Sana kuleta ubunifu mpya
 
Ndio hapo sasa,,mana hata juzi madiwani wa chadema wametembelea shule [emoji3]
Hapana sio ubunifu kabisa. Na wewe si unatembeleaga mkuu?? [emoji3][emoji3][emoji3]

Tujifunze ku appreciate kazi za wenzetu jamani
 
Limeisha mkuu ,nilishangaa kuskia kutembelea shule ni ubunifu [emoji3]
kutembelea popote sio ubunifu , kinachofanyika huko ulipotembelea ndiyo ubunifu unahitajika.
Kwa upande wa Tigo Fiesta wao wana project inaitwa Kipepeo.
 
ni kwa muda mrefu sana nimefatilia matamasha kama, Mziki Mnene, Komaa concert, Fiesta, Jembeka festival, Kili music, pamoja na Wasafi festival

matamasha haya yote yana wadhamini tofauti, ila nimekuja kugundua linapokuja combination la Clouds na Tigo kwao hawanaga shughuri ndogo

Clouds ina team nzuri sana ya marketing, content ndio maana kwao hata kitu kama ni kidogo hukipigia kelele na kila mtu akaweka atention yakutaka kujua ni nini kitakachojili,

Tigo wote tunafahamu labda ujisahaurishe wana team ya marketing ambayo ni damu changa na inajielewa ndio maana product zao nyingi hupigiwa kelele kwenye TV, Radio, social media, bilboard, mpaka utataka kujua ni nini hiko

combination ya Clouds media na Tigo ndio inakuja kubeba Tamasha la Fiesta kuwa tamasha kubwa na tamasha linalopata milage sana ndani na nje ya nchi kuliko matamasha mengine hii ni kutokana na kelele zinazopigwa na Mdhamini pamoja na muandaaji kabla ya kilele cha shughuri husika, wana activities mbali mbali kama roadshow kwa mdhamini, baadhi ya segment na vipindi kufanywa mitaani kwa muandaaji,

wengine wanaoandaa matamasha pia wanaweza kuiga mfano huu

Tigo Fiesta 2019 size yako "levels babby"
Mkuu acha ushabiki wa hovyo hovyo,hivi kuna tamasha lenye wadhamini wengi hapa Tanzania kuzidi lile la wasafi festival?
Au unazungumzia marketing hipi hio?
Tigo fiesta hadi sasa inawadhamini wangapi mkuu?
 
Back
Top Bottom