"Tigo fiesta" hakunaga shughuri ndogo

"Tigo fiesta" hakunaga shughuri ndogo

mayowela

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2014
Posts
2,125
Reaction score
1,757
ni kwa muda mrefu sana nimefatilia matamasha kama, Mziki Mnene, Komaa concert, Fiesta, Jembeka festival, Kili music, pamoja na Wasafi festival

matamasha haya yote yana wadhamini tofauti, ila nimekuja kugundua linapokuja combination la Clouds na Tigo kwao hawanaga shughuri ndogo

Clouds ina team nzuri sana ya marketing, content ndio maana kwao hata kitu kama ni kidogo hukipigia kelele na kila mtu akaweka atention yakutaka kujua ni nini kitakachojili,

Tigo wote tunafahamu labda ujisahaurishe wana team ya marketing ambayo ni damu changa na inajielewa ndio maana product zao nyingi hupigiwa kelele kwenye TV, Radio, social media, bilboard, mpaka utataka kujua ni nini hiko

combination ya Clouds media na Tigo ndio inakuja kubeba Tamasha la Fiesta kuwa tamasha kubwa na tamasha linalopata milage sana ndani na nje ya nchi kuliko matamasha mengine hii ni kutokana na kelele zinazopigwa na Mdhamini pamoja na muandaaji kabla ya kilele cha shughuri husika, wana activities mbali mbali kama roadshow kwa mdhamini, baadhi ya segment na vipindi kufanywa mitaani kwa muandaaji,

wengine wanaoandaa matamasha pia wanaweza kuiga mfano huu

Tigo Fiesta 2019 size yako "levels babby"
 
Baba Kasema pata Burudani ya Size Yako..Ila huu utaratibu wa wasanii kuomba kupigiwa Kura ndo sijaikubali.
 
Hakuna kitu hapo , unawapamba tuu.... Kinachowabeba ni uzoefu na coverage ya Clouds fm , Ila hakuna jipya lolote watakalofanya....
 
Hakuna kitu hapo , unawapamba tuu.... Kinachowabeba ni uzoefu na coverage ya Clouds fm , Ila hakuna jipya lolote watakalofanya....
jipya unalolizungumzia wewe ni lipi..?
 
nilicheka sana zile segment za Fiesta za kutembelea mashule na wasafi wamecopy kama zilivyo.
 
jipya unalolizungumzia wewe ni lipi..?
Kile watakachoenda kufanya clouds kwenye Tigo fiesta ndo kilekile kinachofanyka wasafi festival, hakuna jipya watakalofanya , istoshe wasanii wao wengi miyeyusho, na kwenye social media wapo poorly connected
 
ni kwa muda mrefu sana nimefatilia matamasha kama, Mziki Mnene, Komaa concert, Fiesta, Jembeka festival, Kili music, pamoja na Wasafi festival

matamasha haya yote yana wadhamini tofauti, ila nimekuja kugundua linapokuja combination la Clouds na Tigo kwao hawanaga shughuri ndogo

Clouds ina team nzuri sana ya marketing, content ndio maana kwao hata kitu kama ni kidogo hukipigia kelele na kila mtu akaweka atention yakutaka kujua ni nini kitakachojili,

Tigo wote tunafahamu labda ujisahaurishe wana team ya marketing ambayo ni damu changa na inajielewa ndio maana product zao nyingi hupigiwa kelele kwenye TV, Radio, social media, bilboard, mpaka utataka kujua ni nini hiko

combination ya Clouds media na Tigo ndio inakuja kubeba Tamasha la Fiesta kuwa tamasha kubwa na tamasha linalopata milage sana ndani na nje ya nchi kuliko matamasha mengine hii ni kutokana na kelele zinazopigwa na Mdhamini pamoja na muandaaji kabla ya kilele cha shughuri husika, wana activities mbali mbali kama roadshow kwa mdhamini, baadhi ya segment na vipindi kufanywa mitaani kwa muandaaji,

wengine wanaoandaa matamasha pia wanaweza kuiga mfano huu

Tigo Fiesta 2019 size yako "levels babby"
Sawa Ruge tumekusikia
 
Kile watakachoenda kufanya clouds kwenye Tigo fiesta ndo kilekile kinachofanyka wasafi festival, hakuna jipya watakalofanya , istoshe wasanii wao wengi miyeyusho, na kwenye social media wapo poorly connected
wasafi festival wanarusha vipindi vyao live kutoka mtaani..?
wasafi festival wana supa nyota..?
wasafi wana fursa..?
wasafi wana kipepeo..?

Wasafi wanacopy idea za clouds isitoshe mzaminiwao hana marketing team ambayo ni creative
 
Fiesta ilikuwaga ya Serengeti tu. Siku hizi upuuzi tu. Hao tigo wameleta matabaka kwa wasanii.
 
Back
Top Bottom