tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 25,832
- 25,138
Jana nimenunua laini ya simu ya mtandao wa tiGO, baada ya kuisajili nikatumiwa SMS ifuatayo:
Hongera! Umezawadiwa Dk 14 Tigo-Tigo, Dk 6 kwenda mitandao yote TZ, SMS 450 na MB 125 kwa kununua line ya Tigo. Tumia ndani ya masaa 24. Kwa salio piga *102*01#
Nilipopiga *102*01# nikapata ujumbe huu hapa:
Una sek 960 mitandao yote TZ, SMS 450 & 90MB hadi 12/07/2014.
KERO YANGU
Kupitia SMS hizi, mnaweza kushuhudia jinsi tiGO wanavyowatapeli wateja wao kwa kuwaahidi ahadi feki ambazo hazilingani na matangazo wanayoyatoa:
1. Mteja hudanganywa kwamba amepewa MB 125 kumbe amewekewa MB 90 tu! Huu ni wizi, uhuni na utapeli!
2. Mteja hudanganywa kwamba dk za ofa zimegawanywa, kumbe si kweli! Matokeo yake mtu akipiga simu analiwa fedha zake. tiGO acheni uti-GO wenu. Msiwafanye wateja wenu mafala kihivyo!
Hongera! Umezawadiwa Dk 14 Tigo-Tigo, Dk 6 kwenda mitandao yote TZ, SMS 450 na MB 125 kwa kununua line ya Tigo. Tumia ndani ya masaa 24. Kwa salio piga *102*01#
Nilipopiga *102*01# nikapata ujumbe huu hapa:
Una sek 960 mitandao yote TZ, SMS 450 & 90MB hadi 12/07/2014.
KERO YANGU
Kupitia SMS hizi, mnaweza kushuhudia jinsi tiGO wanavyowatapeli wateja wao kwa kuwaahidi ahadi feki ambazo hazilingani na matangazo wanayoyatoa:
1. Mteja hudanganywa kwamba amepewa MB 125 kumbe amewekewa MB 90 tu! Huu ni wizi, uhuni na utapeli!
2. Mteja hudanganywa kwamba dk za ofa zimegawanywa, kumbe si kweli! Matokeo yake mtu akipiga simu analiwa fedha zake. tiGO acheni uti-GO wenu. Msiwafanye wateja wenu mafala kihivyo!