utakuja
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 1,062
- 993
Habarini wanajukwaa.. kwenye pita pita zangu mtandaoni nimekutana na tangazo hili katika Page ya Facebook ya Tigo (Kama inavyoonekana kwenye Picha). Tigo inadai kuwa mtandao wa pili (Ingawa mpaka leo TTCL sijawahi ona ikifikia spidi za LTE-A) kuwa na 4G+ hapa TZ yenye theoretical speeds za hadi 120mbps. Swali langu kwa wanajukwaa, maana tumetapakaa TZ nzima je, mmeona mabadiliko yoyote ya spidi ya 4G ya tigo au na hili ni changa la macho lingine kama la TTCL?