Fernandes Rodri
JF-Expert Member
- Apr 11, 2009
- 520
- 249
Nakutakia kila la kheri:
Umesema kweli kabisa, ukitaka kudumu kuwa zako kama mary nagu,hawa ghasia,makame mbarawa,lazaro nyalandu maisha yako yanakuwa swafiiiHaka kanchi kanachukia kuongozwa na watu wenye uwezo,weledi na elimu ya kutosha.Tido kafanya vizuri BBC kaja TBC baada ya kuipaisha kapigwa zengwe,rudi kwa Omary Nundu,njoo kwa kagasheki malizia na kwa Prof Muhongo.tutaendelea kuwa nyuma sababu ya kuwapiga vita wenye uwezo.siku mimi nikifanikiwa kimataifa hata mje nchi nzima mnipigie magoti nirudi nyumbani kusaidia ujenzi wa taifa sitokubali kamwe.watu na CV zao za kimataifa wameishia kushushiwa heshima zao tu
naomba utambue ubora sumu yake tone la uovu, muhongo pamoja na ubora wake unaoutambua wewe uovu tunaoutambua sisi ndio uliomdondosha au utakaomdondosha! nasikitika wewe kumweka kundi moja na tido!!Haka kanchi kanachukia kuongozwa na watu wenye uwezo,weledi na elimu ya kutosha.Tido kafanya vizuri BBC kaja TBC baada ya kuipaisha kapigwa zengwe,rudi kwa Omary Nundu,njoo kwa kagasheki malizia na kwa Prof Muhongo.tutaendelea kuwa nyuma sababu ya kuwapiga vita wenye uwezo.siku mimi nikifanikiwa kimataifa hata mje nchi nzima mnipigie magoti nirudi nyumbani kusaidia ujenzi wa taifa sitokubali kamwe.watu na CV zao za kimataifa wameishia kushushiwa heshima zao tu
Kitambo sana mkuu.Amehama Mwananchi?
azam watarajie makubwa
CV za kimataifa my foot.... Na wakina Tibaijuka wako na MigiroHaka kanchi kanachukia kuongozwa na watu wenye uwezo,weledi na elimu ya kutosha.Tido kafanya vizuri BBC kaja TBC baada ya kuipaisha kapigwa zengwe,rudi kwa Omary Nundu,njoo kwa kagasheki malizia na kwa Prof Muhongo.tutaendelea kuwa nyuma sababu ya kuwapiga vita wenye uwezo.siku mimi nikifanikiwa kimataifa hata mje nchi nzima mnipigie magoti nirudi nyumbani kusaidia ujenzi wa taifa sitokubali kamwe.watu na CV zao za kimataifa wameishia kushushiwa heshima zao tu
huyu nae si angetulia tu.... kutoka bbc hadi azam tv!!!?
Kipindi hiki kilikua shubiri wengine walikichukia hasa waliokua wanashindwa kujenga na kutetea hoja zao.Hongera T.Mhando "mzee wa michakato majimboni".