Umenikumbusha tukio la muda kidogo, kuna mdada alipata position ya mizani akiwa ndio tu ameolewa na katokea familia za kawaida kabisa huko vijiji fulani huko kanda ya ziwa.
Alipata pesa nyingi sana, akajenga na mumewe, wakabadili kabisa mfumo wa maisha, magari, manguo, ili mradi tu ahueni, na wapambe bahati nzuri wakawashauri waanzishhe biashara, basi wakanunua masemi trailer kama 5 ya kubeba mafuta.
LAkini ajabu ni kuwa ilitokea akafukuzwa kazi, magari ya mafuta yakapata ajali baadhi, nadhani alipata shock, manake alianguka na kuzimia alipoamka alikuwa kichaa wa kuvua nguo, muda mfupi bdae akafariki, hata miaka 30 hajafikisha,
nikimkumbuka inanifanya nijifikie sana, naweka wapi uzito katika maisha yangu,
yale magari yaliobakia na nyumba, kwa hasira mumewe aliuza, na kuanza maisha tofauti kabisa.
Alipata pesa nyingi sana, akajenga na mumewe, wakabadili kabisa mfumo wa maisha, magari, manguo, ili mradi tu ahueni, na wapambe bahati nzuri wakawashauri waanzishhe biashara, basi wakanunua masemi trailer kama 5 ya kubeba mafuta.
LAkini ajabu ni kuwa ilitokea akafukuzwa kazi, magari ya mafuta yakapata ajali baadhi, nadhani alipata shock, manake alianguka na kuzimia alipoamka alikuwa kichaa wa kuvua nguo, muda mfupi bdae akafariki, hata miaka 30 hajafikisha,
nikimkumbuka inanifanya nijifikie sana, naweka wapi uzito katika maisha yangu,
yale magari yaliobakia na nyumba, kwa hasira mumewe aliuza, na kuanza maisha tofauti kabisa.