...tick-tick!...Mke kanogewa na Ufisadi; Mume hajui la kufanya

khaaaa! bado unampa maujanja ya wizi zaidi wakati sisi vibaka tukiiba sidiria ilioanikwa tu tunachomwaga moto? think! michelle think! utanipoteza kwa hali hii.

mi waga silazimishi mtu kubadilika,naamini kila kitu kina mwisho na mtu mzima haambiwi tazama.....huyu mama anajua madhara ya matendo yake,na anaweza asikamatwe hadi anastaafu kwanza huwezi jua anakula na nani.....nimeona tu nimshauri awe wa msaada kwa kuanzisha miradi itakayoleta hata ajira kwetu walalahoi.......mimi siwezi kukupoteza wewe,ushakufa umeoza......na wajua mimi si mwizi....miss u!!
 
...Michele, jamaa mbinu zote hizo anazijua, tatizo shemeji yumo ki "rusha roho" zaidi!
Nadhani aim yake, wote waliokuwa wanambeza enzi za ulala hoi 'waipate fresh!'

huo ndo tunaita ulimbuken wa kupata hela ukubwani......hapo ataharibu mapema sana.....manake hao anaowarusha roho watamtafuta tu wamshushe roho na hilo linawezekana......mwambie awe mpole.....heshima itakuja tu hata kwa kuwasaidia hao waliokuwa wanambeza akiwa hana hela na si kuwarusha roho!!!!
 
mi waga silazimishi mtu kubadilika,naamini kila kitu kina mwisho na mtu mzima haambiwi tazama.....huyu mama anajua madhara ya matendo yake,na anaweza asikamatwe hadi anastaafu kwanza huwezi jua anakula na nani.....nimeona tu nimshauri awe wa msaada kwa kuanzisha miradi itakayoleta hata ajira kwetu walalahoi.......mimi siwezi kukupoteza wewe,ushakufa umeoza......na wajua mimi si mwizi....miss u!!
khaaa! kama siogopi kulichakachua hili sredi muhim hakyanani ningeliendeleza hilo libeneke la hapo red. yaani ghafla pumzi zangu zimepotea.
sorry mbu nimetoka ofu topik ili kudaka hili zali tu. ok turudini kwenye mada. huyo dada aache wizi haraka sana.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Wanasema kila "msiba una mwenzake"; wanufaika wa ufisadi ni wengi na sidhani kama kuna hoja ya kiakili ambayo inaweza kumfanya abadili mawazo.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
khaaa! kama siogopi kulichakachua hili sredi muhim hakyanani ningeliendeleza hilo libeneke la hapo red. yaani ghafla pumzi zangu zimepotea.
sorry mbu nimetoka ofu topik ili kudaka hili zali tu. ok turudini kwenye mada. huyo dada aache wizi haraka sana.

rudisha pumzi Kloro tuendelee kujadili mada.....naona hapo Woman Of Substance kasema "halafu tunaambiwa mafisadi ni wanaume tu" wewe una lipi la kusema?:juggle:
 
rudisha pumzi Kloro tuendelee kujadili mada.....naona hapo Woman Of Substance kasema "halafu tunaambiwa mafisadi ni wanaume tu" wewe una lipi la kusema?:juggle:
Michelle,
Si unajua tena siku hizi hakuna cha mwanaume wala mwanamke katika kila "fani" lol!

Kuna msemo uliokuwa unasema hivi " Jela ni ya Wanaume"..itabidi ubaldilishwe.
 
rudisha pumzi Kloro tuendelee kujadili mada.....naona hapo Woman Of Substance kasema "halafu tunaambiwa mafisadi ni wanaume tu" wewe una lipi la kusema?:juggle:
hiyo red ni nickname ya mtu hapa JF, asje akashtaki name calling?
mimi nasema bora uwe na mafisadi 1000 wa kiume kuliko kuwa na fisadi mmoja wa kike. kama alivyosema mbu hapo awali ufisadi wa kike unaambatana na "rusha roho" , "kukomoa" na some "carelessness", huyu mdada atadakwa muda si mrefu wee subiri tu. kwanza akienda saloon lazma atataka kusimulia mafanikio yake. na usishangae 40% ya hiyo hela anayoiba pengine inakwenda kwenye ma make up na ma lipustiki tu, hakuna future plan.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Michelle,
Si unajua tena siku hizi hakuna cha mwanaume wala mwanamke katika kila "fani" lol!

Kuna msemo uliokuwa unasema hivi " Jela ni ya Wanaume"..itabidi ubaldilishwe.

maisha yamebadilika WOS.....haki sawa na usawa umefika hatua ya juu sana,women dare....na anamnunulia mwanaume range na nyumba kabadili.....huyu mama mi wala sijamchukia....angekuwa anahonga wanaume sawa,ila anaonekana ana akili yake hapo kichwani anahitaji washauri tu wa kumshauri namna ya kutumia kodi yetu vizuri......kama alivyosema MMK hapo juu hakuna hoja ya kiakili itakayomfanya abadili mawazo......!!:washing:
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
hiyo red ni nickname ya mtu hapa JF, asje akashtaki name calling?
mimi nasema bora uwe na mafisadi 1000 wa kiume kuliko kuwa na fisadi mmoja wa kike. kama alivyosema mbu hapo awali ufisadi wa kike unaambatana na "rusha roho" , "kukomoa" na some "carelessness", huyu mdada atadakwa muda si mrefu wee subiri tu. kwanza akienda saloon lazma atataka kusimulia mafanikio yake. na usishangae 40% ya hiyo hela anayoiba pengine inakwenda kwenye ma make up na ma lipustiki tu, hakuna future plan.

Yatakushinda Kloro,na bado hujasema......kosa ni hilo la kurusha watu roho....ila tumeambiwa kajenga nyumba mbili na karekebisha hata makazi yake anayoishi na mumewe.......muache kabisa,labda kesho ataanzisha kampuni ya tours au hoteli ya kitalii au kuanza kampuni ya ndege.....you never know!!! natamani nimjue huyu mama,nimpe ushauri tugawane hiyo kodi.....:washing:
 
02D78330.jpg
...ni mke na mume waliodumu miaka 15 ya ndoa. Wamejaaliwa watoto wawili, miaka 12, na miaka 9. Wazazi wote ni waajiriwa wa serikali. Baada ya kujinyima hapa na pale, mume akaweza kujenga nyumba ya vyumba viwili, wakajistiri. Mke nae akajitahidi kukopa hapa na pale angalau wakaweza kununua 2nd hand (reconditioned) corolla tokea japan.


Kimbembe kimeanza miaka mitatu iliyopita. Mke amebahatika kupangiwa ofisi nyeti ambayo inajihusisha na upatikanaji wa mapato ya serikali. Kufumba na kufumbua, mke kajenga nyumba mbili za kisasa kisha kazipangisha. Nyumba waliyokuwa wanaishi ameiongezea vyumba vingine vinne pamoja na vikorombwezo na nakshi mbali mbali. Almuradi maisha yao shwari mara kumi ya hapo awali.

Kama hilo halitoshi, kawahamisha watoto public school na kuwapeleka kwenye Academy ambako kwa mwaka pamoja na vikorombwezo vingine, anawalipia mara kumi ya mshahara wake. Haikupita muda, kanunua brand New Toyota VX, na sasa ameagiza Range Rover Vogue (Sport) toka Uingereza kwa ajili ya mumewe.

Jamaa (mume) pamoja na unafuu wa maisha, roho yake haimpi! anaona "likibumbuluka" ofisini kwa mkewe, watakumbwa waliokuwamo na wasiokuwamo. Kajaribu kumsahuri mkewe aachane au apunguze mabomu kazini, Mke hasikii la mwadhini wala mnadi swala!... anasema "tumeteseka sana kimaisha, acha nasi tujiliwaze kidogo!"

Jamaa hajielewi elewi kabisaaa. Akifikiria ndoa, yake haijwahi yumbishwa kwa lolote miaka yote kumi na tano. Lakini, kasi ya mkewe na likilipuka, watataifishwa mali zote na huenda mkewe akaishia jela. Mzee wa watu anafikiria aanzie wapi kuepusha 'bomu hili la kutega'

Mna maoni gani.
Aisee story yako inatia kinyaa bana!!hayo si mambo ya kumshauri mtu!huyo mume kama anaipenda nchi yake akaripoti kwa vyombo husika ili awe safe side!
kama haoni haja basi aendelee kula raha hdi liwalipukie!Mi sipendi story za wizi inaonekana wewe imekuvutia!au na wewe ni mmoja wao?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Yatakushinda Kloro,na bado hujasema......kosa ni hilo la kurusha watu roho....ila tumeambiwa kajenga nyumba mbili na karekebisha hata makazi yake anayoishi na mumewe.......muache kabisa,labda kesho ataanzisha kampuni ya tours au hoteli ya kitalii au kuanza kampuni ya ndege.....you never know!!! natamani nimjue huyu mama,nimpe ushauri tugawane hiyo kodi.....:washing:
hiyo yote ni sehem ya rusha roho na hayo mahela anayoiba pengine alitakiwa akuwe na at least magorofa sita mbezi (mbu atafafanua hii). mimi mwenyewe natamani nimjue ili anijaffarai nami nimshyrose banji. hela tam bana. washenzi wamecancell loan yangu
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
hiyo yote ni sehem ya rusha roho na hayo mahela anayoiba pengine alitakiwa akuwe na at least magorofa sita mbezi (mbu atafafanua hii). mimi mwenyewe natamani nimjue ili anijaffarai nami nimshyrose banji. hela tam bana. washenzi wamecancell loan yangu

hujaacha ushalobaro Kloro? ile loan nilikuwekea kauzibe juu kwa juu manake ulianza mijisifa hata kabla hujapata,nikajua ukiipata haitakusaidia kitu zaidi ya kumaliza wasanii......ukijirekebisha,loan utapata:focus:
 
Michelle,
Si unajua tena siku hizi hakuna cha mwanaume wala mwanamke katika kila "fani" lol!

Kuna msemo uliokuwa unasema hivi " Jela ni ya Wanaume"..itabidi ubaldilishwe.
dah! aisee hapo red nakubaliana na wewe kabisa, yalinikuta nchi flani nikawa naongea na mhudumu nikijua ni mwanamke tena mrembo kuliko husninyo na michelle khaaaa! e bana skuamini liliponiambia yeye ni shemale niliacha msosi mezani nikatimua maana lilikuwa linakaba ajabu. hii dunia hata yesu akiludi nazani iko beyond repair.
 
hujaacha ushalobaro Kloro? ile loan nilikuwekea kauzibe juu kwa juu manake ulianza mijisifa hata kabla hujapata,nikajua ukiipata haitakusaidia kitu zaidi ya kumaliza wasanii......ukijirekebisha,loan utapata:focus:
sku hizi nimekuwa mtu wa maandiko tu. nahubiri sana kupitia PM. leo kidogo nimesitisha biblia na msahafu wangu kaazima mshkaji flani. :focus:
 
dah! aisee hapo red nakubaliana na wewe kabisa, yalinikuta nchi flani nikawa naongea na mhudumu nikijua ni mwanamke tena mrembo kuliko husninyo na michelle khaaaa! e bana skuamini liliponiambia yeye ni shemale niliacha msosi mezani nikatimua maana lilikuwa linakaba ajabu. hii dunia hata yesu akiludi nazani iko beyond repair.

na bado hujakutana nao....nikikuambia utulie hutaki,sasa kuna mahala nilienda,popote utakapojaribu utaishia kutimua mbio....stop Kloro stop!
 
sku hizi nimekuwa mtu wa maandiko tu. nahubiri sana kupitia PM. leo kidogo nimesitisha biblia na msahafu wangu kaazima mshkaji flani. :focus:

unahubiri kupitia PM????? sipati picha....siku PM ziwekwe wazi hata kimakosa tu......itakuwa siku ya furaha sana kwangu!!! 9t 9t Kloro!!
 
Wanasema kila "msiba una mwenzake"; wanufaika wa ufisadi ni wengi na sidhani kama kuna hoja ya kiakili ambayo inaweza kumfanya abadili mawazo.

...duuuh, mzee umejionea bora yaishe? yaani hakuna busara hata ya kumtishia nyau?

maisha yamebadilika WOS.....haki sawa na usawa umefika hatua ya juu sana,women dare....na anamnunulia mwanaume range na nyumba kabadili.....huyu mama mi wala sijamchukia....angekuwa anahonga wanaume sawa,ila anaonekana ana akili yake hapo kichwani anahitaji washauri tu wa kumshauri namna ya kutumia kodi yetu vizuri......kama alivyosema MMK hapo juu hakuna hoja ya kiakili itakayomfanya abadili mawazo......!!:washing:

..Michelle natamani nikuunganishe ushoga na huyu dada., Anyway...acha tu. Asijekufungisha na wewe.

Aisee story yako inatia kinyaa bana!!hayo si mambo ya kumshauri mtu!huyo mume kama anaipenda nchi yake akaripoti kwa vyombo husika ili awe safe side!
kama haoni haja basi aendelee kula raha hdi liwalipukie!Mi sipendi story za wizi inaonekana wewe imekuvutia!au na wewe ni mmoja wao?

...E bana wee,... uchukie, usichukie jamaa wanachota. Watu weshadata bana.
Sasa si aheri ya huyo mama.

Mwenzake hapo ofisini, baada ya kuchota sanaaa na kujilimbikizia mali
sasa anamsomesha mkewe Uingereza. Anamlipia kodi ya nyumba na hela za matumizi.
Jamaa kila baada ya miezi mitatu anakwenda 'kumuona wife,' ana fly BA- Business class' return ticket.

Ukipiga gharama za kawaida za mkewe (kwa mwezi) ughaibuni, anatumia si chini ya Stg £1200
(Approx tshs 2.9m/=) Na jamaa wala hapaliwi mate wala kikohozi, ...starehe 24/7, VX full kiyoyozi masaa 24, na nyumba anayokaa anachoma AC 24hrs.
Huyu atajali hasira yako kweli?

:focus:
Hilo la kumshtaki mkewe, mnh?
mama watoto wake huyo, halafu kumbuka hana kinyongo nae.
Wewe vipi bana?
 
nadhani Takukuru wamo humu ndani watachukua hatua za haraka.

...mnh, by the time vijana wa mzee wa Hosea wanaidaka hii, jamaa watakuwa weshabadilisha system ya ku feed info kwenye mtandao. TAKUKURU wakivamia ofisi wanapewa mafaili yenye vumbi, ...wakati wanayapekua, wakipiga chafya mfululizo, ...wajanja wanafyonza (kuondoa) evidence kwa USB.

Mume huyu ana info zote za madhambi ya mkewe, ila kiapo cha ndoa na 'Ukweli wa maisha' vinamfunga.

 
Back
Top Bottom