Michelle
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 7,621
- 3,514
khaaaa! bado unampa maujanja ya wizi zaidi wakati sisi vibaka tukiiba sidiria ilioanikwa tu tunachomwaga moto? think! michelle think! utanipoteza kwa hali hii.
mi waga silazimishi mtu kubadilika,naamini kila kitu kina mwisho na mtu mzima haambiwi tazama.....huyu mama anajua madhara ya matendo yake,na anaweza asikamatwe hadi anastaafu kwanza huwezi jua anakula na nani.....nimeona tu nimshauri awe wa msaada kwa kuanzisha miradi itakayoleta hata ajira kwetu walalahoi.......mimi siwezi kukupoteza wewe,ushakufa umeoza......na wajua mimi si mwizi....miss u!!