Mkubwa kama vipi mrudie mapemaa mzee, maana ukichelewa tu wale waliokuwa wanajiuliza nitampata lini watakuwa wameshaona kivuno.......utateseka mzee na kama unavyojua kipendacho roho tena:frusty:
kama nataka kukuonea huruma hivi.
Kua mwanaume bana,mwanaume hapendagi hivo.
Labda yeye kesha kuwahi kwa waganga,ukienda huko una haribu zaidi.
Nenda kwa YESU,yeye ana funika yote na hakuna wa kumzidi.
nice one FP! Have missed you!malizia kwanza hiyo retreat, miezi 2 tu unaanza kupiga kelele, lol!
kila Mtu Anakila Hasichopenda Mpenzi Wake Afanye...Kuna Wengne Hawapendi Wapenzi Wao Wavae Hereni N.k
Mimi Sipendi Mpenzi Wangu Avae Suruali Kwani Ilizidisha Chachu Ktk Muonekano Wa Maungo Yake!
Na wewe nisikuone unavaa chupi.....kuanzia leo mwendo wa boxer tu. Hakuna mjadala
Hahahaaaaa! Mfumo dume nao! Inaonekana kafungashia sana huyo bi dada akivaa suruali roho inakuenda mbio!!!! Kama unataka asievaa suruali, na anaekusikiliza, we nenda katafute KIJIJINI, wa huku mjini, tumeshajichokeaaa longi, UKOLONI MAMBOLEO umetutawala mapaka fikra!!!! Usawa mpaka mavazi!!! Hadi kitandani TUNAWAHI WOMAN ON TOP!!! Ikishindikana tunasettle for 69 position!!! LOL!!!
Shukuru umeishi zama za suruali, manake huko mbeleni wazungu watatembea bila nguo, na huku bongo lazima tuige!!!!
ukistaajabu ya Musa utaona ya Majigo.
Suruali zambi? Wee mbona hakutaka kukubadili uvaavyo?
Hebu kua kwanza.
USHAMBA MZIGO KWELIKWELI!!!! Ndo maana umekimbiwa! HAHAHAHAAAA!kama kuwa mtumwa wa mazungu kiasi kama hiki sioni haja ya kuendelea kuoa nikukaa biola mke na kama na wewe unatetea kutembea uchi naona kama laana inakukimbilia
have missed you too sweetie. nitakuemailnice one FP! Have missed you!
yaani unamuacha mtu kwa sababu ya suruali?
Umemkuta mtu maisha yake yote yuko hivyo leo aache kila kitu kwa sababu gani?
Wewe umejitoa vipi na umeacha yepi kwa ajili yake?
Nahusi kama vile umemuona juyo ninti ni mali yako, utakachosema na iwe hivyo....
Mapenzi ni kujitoa kwa wote wawili, umkubali mtu jinsi alivyo na suruali zake (kwanza wakati unamtongoza si ulijua anavaa suruali na anakunywa pombe?) na mapingufu yake, ulipaswa kumuomba apunguze na yeye angepunguza kwa muda wake (hivyo kama ulikuwa unampenda kwa dhati ungevumilia)
kuwa mwanaume hakuna maana kuwa una remote ya kumcontrol mwenzio, ushauri wangu achana na mapenzi mpaka pale utakapoona umekomaa kuweza kuhandle relationship, la sivyo utasumbua wadada wa watu........
Nilizidi Kumpenda Kwa Sababu Mavazi Yake Najua Ni Sketi Na Magauni!wakati unamtongoza hakuwa anavaa suruali? Inakuaje na yeye akikwambia usivae suruali?
Kuna tatizo gani na suruali?
Kuhusu hilo la kukusikiliza wewe, je na wewe unamsikiliza? Au ukiwa mwanamke basi hauna mapendeleo yako?
Kama ndivyo basi ndugu yangu utaacha wengi. Mahusiano ni compromise na si amri ya mtu mmoja.
Jichunguze kwanza mwenyewe na unachokiamini kama ndicho kinachoaminiwa na wengi.......kama sivyo wewe ndo uanze kubadilika halafu naye ndo atakusikia.