sio Dhambi Ila Kutonishirikisha Kama Atabadiri Nilichomuambia, Kulinikasirisha!
Mbinu tafuta asievaa kbs!!!na umpe condition zako km ataziweza..na kwa ushauri tafuta anayekupenda ww ili umcontroll utakavyo!!!..vinginevyo utakuwa ni wa kulalamika ushirikishwi kila cku!!
Uzalilishaji Kutovaa Suruali Tena Kwa Kuomba?
Ni vyema unge mtafuta asiye vaa suruali kuliko kujaribu kumbadilisha aliye anza kuvaa akiwa na wazazi wake hadi akawa mkubwa! Sijui kama unaweza kumkataza kuvaa suruali girlfriend!
Mchovya asali ni ngumu kuacha ni sawa na mnywa pombe tu!
Hili aache ni vyema ukaenda taratibu na kwa hatua!
Nivyema ukajua kuwa kila jini lina mti wake!
Ndio.
Maana si wote wanaojua kusema vizuri, kwa hiyo it ends up mwanamke anajiona kama mtoto na hana akili ya kujua baya na jema anaejua ni yeye mwanamme tu, amshikie akili.
Ni mwanzo wa mwanamke kujichukia au kukuchukia wewe
hapana Bana ,Mimi Wala Ckuwa Na Upinzani Wa KufikaTULIVYO SASA kama Angenitaarifu!
hapana Bana ,Mimi Wala Ckuwa Na Upinzani Wa KufikaTULIVYO SASA kama Angenitaarifu!
Hahahaaaaa! Mfumo dume nao! Inaonekana kafungashia sana huyo bi dada akivaa suruali roho inakuenda mbio!!!! Kama unataka asievaa suruali, na anaekusikiliza, we nenda katafute KIJIJINI, wa huku mjini, tumeshajichokeaaa longi, UKOLONI MAMBOLEO umetutawala mapaka fikra!!!! Usawa mpaka mavazi!!! Hadi kitandani TUNAWAHI WOMAN ON TOP!!! Ikishindikana tunasettle for 69 position!!! LOL!!!
Shukuru umeishi zama za suruali, manake huko mbeleni wazungu watatembea bila nguo, na huku bongo lazima tuige!!!!